miminimkulimaakachekasana
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 3,263
- 4,730
nilikuwa nawaza utauliza'' ana ch...?''ila huyo mwanafunzi mdomo wake mchafu unaohusu "stress za kutokulipwa mshahara" umenifunza kitu!!....Kumbe hata watoto wadogo siku hizi wanaelewa kuwa kuajiriwa ni utumwa,haya ndiyo maendeleo tunayoyataka katika nchi!!....Asante mtoto kwa mdomo wako mchafu ulionifunza kitu!!
Kwa sababu ya zile kauli chafu? Unaota wewe!Mungu anisamehe ila yule anaonekana anaenda shule kusindikiza wenzie tu. Form four yake naona zero kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23]nilikuwa nawaza utauliza'' ana ch...?''
kitu kizuri nimejifunza pia
Haahaaa...mwanafunzi kawainsipire watu humu jf[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23]ila huyo mwanafunzi mdomo wake mchafu unaohusu "stress za kutokulipwa mshahara" umenifunza kitu!!....Kumbe hata watoto wadogo siku hizi wanaelewa kuwa kuajiriwa ni utumwa,haya ndiyo maendeleo tunayoyataka katika nchi!!....Asante mtoto kwa mdomo wako mchafu ulionifunza kitu!!
Hakuna anayemtetea huyo denti coz nao washenzi tu tena sana!Wanaomtetea huyo mtoto sijui wanawaza nini. Wanadhani hapa kinachoongelewa kumpisha siti mtu mzima.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ...huyo denti kapindaHahahahahaaa. Eti anamuuliza mwenzie kwani leo lini?? Aah kumbe mwisho wa mwezi ndo maana mama anataka kik kwangu kumbe ana stress za mshahara
I wish ningekuwa kwenye hilo daladalaAhhahaha ana majibu hatari
Too bad, real badila dunia ya sasa hivi kuwa mzazi inahitaji moyo,just imagine wewe ndiyo mzazi wa huyo mtoto-you just exhausted your money,time,mind,e.t.c to raise such a lil Monster!!
Hiyo tabia watu wazima wengi wanayo sana...Kweli kabisa kuna watu wanataka waheshimiwe kila mahali utafikiri anaongoza dunia yeye
[emoji23] [emoji23] [emoji23] unapata dhambiHata mimi kuna wakati hua siwachii siti wazee kwa sababu ya ukorofi wao. Unakuta stend magari yapo kibao mengine hayajajaza unakuta bado mzee anaforce kuja kupanda daladala lililojaa mie watu kama hao hua siwaachii siti akili zao zipate akili siku nyingine wawe wanajiongeza
Huyo kanivunja mbavuAhahahahahah
Ungecheka na wee ungeonekana hamnazooNingecheka jamani
Yaani mimi ningekuwepo ningemzaba vibao kwanza vya kumnyamazisha maana wanaigizaga wamepinda sana.Yani kama yule lazima ameshakua na mambo ya wanaume ndo maana ana confidence kiasi kile.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyo mtoto akijiunga jf tutapata tabu sana si kwa majibu hayo jamani
Mi nikionaga konda anasumbua nalipa nauli wakae kwenye siti. Kuna wengine unaona kabisa alivyochoka halafu asimameKati ya watu siwezi jibishana nao ni madenti....huwa wanachoka sana! Sana
Huwa nawaonea huruma coz nimepitia the same consequences tena hapa hapa dar!
Wee acha tuu
Nilikasirika jamani. Akanitukana halafu baadae naambiwa wewe mbona umemtukana mwenzio mpaka analia. Nikacheka sana maana siwezi kumtukana mtu nikikasirika ila ntaongea maneno ya kukuumiza tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kama nakuona