Wanafunzi Dar na Dharau kwa Wakubwa Wao

Wanafunzi Dar na Dharau kwa Wakubwa Wao

Kama alikuwa anamtukana mmama yuko kimyaa, wallah ningemkunja...serious!
Usingeweza nakwambia. Kama mtoto mdogo anamchamba mmama kwenye mbasi mkubwa sasa wewe kumkunja si angekuvua nguo akukomeshe
 
Usingeweza nakwambia. Kama mtoto mdogo anamchamba mmama kwenye mbasi mkubwa sasa wewe kumkunja si angekuvua nguo akukomeshe
Haahaa unaleta masihara...nakwambia ningemuadhiri mi najua wenye midomo, weakness yao iko wapi!
 
Ni upuuzi wa watu wazima pia. Kwani huyo mwanafunzi alikaa kwenye kiti cha wazee? Haya mambo badala ya kulaumu utaratibu wa hovyo kwenye usafiri mnamkomalia denti. Hii nchi tunaishi kama samaki, mkubwa anamwonea mdogo. BTW, kama wewe ni mzee na gari imejaa kwa nini usisubiri jingine? Mambo mengine kutafutiana lawama tu. Hakuna ambaye hajachoka tena denti ndio anahitaji kupumzika zaidi maana bado anasafari ndefu kuliko ninyi wazee.
 
Hizi ndio product za kulelewa na Ma-house girl, wangemchapa Ata vibao kdg[emoji36][emoji36][emoji36]
 
Leo kwenye daladala kuna mama alimwambia mwanafunzi ampishe mzee akae. Yule mwanafunzi badala ya kujibu kistaarabu labda mama nimechoka au nnitalipa nauli ya mtu mzima ila alichokifanya ni kujibishana na yule mama. Akaanza kumwambia simpishi mtu angetaka angewahi. Mama kujibiwa vile akapata moto. Akamwambia nyie watoto wa siku hizi hamna adabu mzee kasimama wewe umekaa halafu unajibu vibaya. Mwanafunzi akamwambia mama "usitafutie kik kwangu kama una stress mshahara hujatoka achana na mimi." "Kwanza nakushangaa unavyoniambia nimpishe si ungempisha wewe". Mama akamwambia "we mtoto nina mtoto kama wewe nyumbani usinijibu vibaya". Mwanafunzi akamjibu "mama kama mtoto yuko kwako ungekua na mtoto kama mimi ungemleta kwenye garia saa hizi mbona hayupo kwanza achana na mimi na stress zako za kutolipwa mshahara".

Haki nilijisikia vibaya yule binti kumjibu vile mama wa watu. Sawa sio jambo zuri kumsimamisha mwanafunzi ili mtu mzima akae lakini yule binti ana mdomo mchafu sanaa. Kwa style hii hawa wanafunzi wa Dar wataendelea kufeli kwa sababu hawana adabu kwa mkubwa wala mdogo. Nimewazia walimu wake atakua anawajibu dharau kiasi gani wakiwa wanamgombeza.
Ukichunguza vizuri utakuta mabinti kama hao walishaanza kut0m&w@ na watu wazima, kitendo kinachowafanya nao wajione wakubwa. Pumbaf zao!
 
Back
Top Bottom