Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
- Thread starter
- #61
Asante kwa somo mkuuAsilimia kubwa ya tabia za watoto hujengwa na wazazi/walezi, japo kuna suala la mazingira, na asili.
Wazazi/walezi tukibadili aina ya malezi natumaini na watoto wetu watabadilika.
Mithali 22 : 6 "Mlee mtoto katika njia impasayo, Naye hataiacha hata atakapokua Mzee"
Pole kwa kugadhabika.