Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Wanafunzi Jenipher na Caren wa Iringa girls wanahitaji ushauri wenu,enyi GREAT THINKERS

Naona wewe unafananisha pass za Form six na pass za Form Four; Vitu viwili tofauti kabisa
Mfano; Form Six mtu akiwa na pass mark ya C tatu za PCB; hapo ana Division One na anaweza kwenda UDactari (MD) bila shida yoyote. Hizo pass za A kwa Form six zinapatikana kwenye Arts (History, Kiswahili nk)
Kwenye saiyansi (PCB/M) ni za kuotea na ndio sababu wana mfumo tofauti wa kurank division)
Muwe mnasoma bila makasiriko! Nilichoandika na ulichoandika ni vitu viwili tofauti. Rudia kusoma ukiwa sober
 
Back
Top Bottom