Wanafunzi Kukosa Viatu ni ishara ya wazi ya Umasikini wa nchi

Wanafunzi Kukosa Viatu ni ishara ya wazi ya Umasikini wa nchi

Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .

Ndio maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo

Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .

View attachment 2753744
View attachment 2753745
Kiogozi wa nchi anaenda na msafara wa magari ya kifahari kuhutubia raia wasioweza hata kununua viatu! Tumelaaniwa
 
Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .

Ndio maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo

Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .

View attachment 2753744
View attachment 2753745
Labda wanamuiga Mpoto.
 
Labda wanamuiga Mpoto.
Mpoto anazuga tu , hebu mcheki akiwa na mitoko yake

FB_IMG_1680013619695.jpg
 
Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .

Ndiyo maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo

Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .

View attachment 2753744
View attachment 2753745
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akimaliza ziara ya Ruangwa, Wamasai wa Ngorongoro wanamsubiri wanataka kuongea na Rais wao mpendwa...
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐ŸคฃHuyo mzee mwenyewe alisoma ualimu wa upe
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Back
Top Bottom