Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Wao ni watetezi wa wanao ibiwa hata viatu, madawati na hata nguo na chakula cha hawa walala hoi๐๐๐Vipi chadema na kofia zao na t-shirt zao nyekundu au ndo nyani haoni.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wao ni watetezi wa wanao ibiwa hata viatu, madawati na hata nguo na chakula cha hawa walala hoi๐๐๐Vipi chadema na kofia zao na t-shirt zao nyekundu au ndo nyani haoni.....
Kiogozi wa nchi anaenda na msafara wa magari ya kifahari kuhutubia raia wasioweza hata kununua viatu! TumelaaniwaHuko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .
Ndio maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
View attachment 2753744
View attachment 2753745
Bunge kupitisha muswada ili wake wa viongozi walipwe mafaoWao ni watetezi wa wanao ibiwa hata viatu, madawati na hata nguo na chakula cha hawa walala hoi๐๐๐
Chadema haijatutawala kwa miaka sitini.Vipi chadema na kofia zao na t-shirt zao nyekundu au ndo nyani haoni.....
Ingekuwa mswaada wa kuwalipa mafao wazee wasio na waangalizi na uwezo wa hata kupata mlo,na matibabu wangevuna baraka tele.Bunge kupitisha muswada ili wake wa viongozi walipwe mafao
Labda wanamuiga Mpoto.Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .
Ndio maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
View attachment 2753744
View attachment 2753745
Mpoto anazuga tu , hebu mcheki akiwa na mitoko yakeLabda wanamuiga Mpoto.
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .
Ndiyo maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
View attachment 2753744
View attachment 2753745
๐๐๐๐Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyu nani uyu atachomwa moto mkali sana uyu..
CCM haina huruma
๐๐๐๐๐Nakala kwa :Lucas Mbwa Wa Shamba