balimar
JF-Expert Member
- Sep 18, 2015
- 7,743
- 13,657
KIFO ndio hakina hurumaCCM haina huruma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KIFO ndio hakina hurumaCCM haina huruma
Sisi wakati tunasoma shule ya msingi kama ukiwa na jozi moja ya viatu hutavivaa kila siku ili visichakae.Huko Rwangwa ambako Rais Samia yuko ziarani , na ambako kila mwananchi aliyehudhuria Mapokezi ya Rais ameonekana ameshika bango la kumpomba , Wanafunzi hawana viatu .
Ndiyo maana Chawa wa Mama wameamua kuomba hela wanakojua wenyewe na kugawa kwenye Kaya Masikini huku wakiongozana na mama mwenyewe kwenye ziara hiyo
Rwangwa ni Jimbo linaloongozwa na Mbunge ambaye ndiye Waziri Mkuu , huyu ni miongoni mwa Wabunge waliopita bila kupingwa .
View attachment 2753744
View attachment 2753745