Wanafunzi mpaka wa primary wanavuta sigara za kielektroniki serikali na wazazi mko wapi?

Wanafunzi mpaka wa primary wanavuta sigara za kielektroniki serikali na wazazi mko wapi?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Hizi e-cigarette wanazipatia wapi zinauzwa wapi mpaka zimeenea namna hii kama tu huku Mtwara nimeona watoto kundi kwenye michezo ya umitashumta wanavuta wanazo mbili je huko dar es salaam si ndo itakuwa Balaa.

Sigara hizi lengo Ilikuwa kuwapunguzia wavutaji wa tumbaku ile addiction ila zimewekwa flavour inaonekana, inewavutia sana watoto nasikia kinauzwa 15000 je kinauzwa maduka gani hayo Mpaka wafanyabishara wakubali kuwauzia watoto?
 
Sigara za kielektroniki zinaongeza hatari ya magonjwa ya moyo na mapafu,

Pia sigara hizi sio tu hatari kwa mvutaji peke yake bali hata wale walio karibu na mvutaji ''Second smoker'' coz moshi wenye nicotine huvutwa pia na waliokaribu na mvutaji,

Sigara hizi zina sumu aina ya glycol amabayo hutumika kama antifreeze,

Mpaka sasa hivi hizi Sigara zimepigwa marufuku kwenye zaidi ya nchi 30 Duniani ili kulinda vijana,

Mpaka sasa hivi hakuna ushahidi kua Sigara hizi za kielektroniki huwasaidia wavutaji wa sigara za kawaida kuacha kuvuta sigara.

You cannot buy your health
You must earn it through health living.
 
Hizi e-cigarette wanazipatia wapi zinauzwa wapi mpaka zimeenea namna hii kama tu huku Mtwara nimeona watoto kundi kwenye michezo ya umitashumta wanavuta wanazo mbili je huko dar es salaam si ndo itakuwa Balaa.

Sigara hizi lengo Ilikuwa kuwapunguzia wavutaji wa tumbaku ile addiction ila zimewekwa flavour inaonekana, inewavutia sana watoto nasikia kinauzwa 15000 je kinauzwa maduka gani hayo Mpaka wafanyabishara wakubali kuwauzia watoto?
Hivi Dar mnaionaje? Tuanzie hapo. Kwamba ukisikia harufu mbaya Mtwara basi Dar pameoza?
 
YONDE YONDE WAJAJI NA WALEJI VIYANA WANADAGIWA GUWA NA UWANGALIZI WA GARIBU SANA
 
Back
Top Bottom