Wanafunzi mpaka wa primary wanavuta sigara za kielektroniki serikali na wazazi mko wapi?

Wanafunzi mpaka wa primary wanavuta sigara za kielektroniki serikali na wazazi mko wapi?

Hizi e-cigarette wanazipatia wapi zinauzwa wapi mpaka zimeenea namna hii kama tu huku Mtwara nimeona watoto kundi kwenye michezo ya umitashumta wanavuta wanazo mbili je huko dar es salaam si ndo itakuwa Balaa.

Sigara hizi lengo Ilikuwa kuwapunguzia wavutaji wa tumbaku ile addiction ila zimewekwa flavour inaonekana, inewavutia sana watoto nasikia kinauzwa 15000 je kinauzwa maduka gani hayo Mpaka wafanyabishara wakubali kuwauzia watoto?
Mtwara sehemu gani kaka tuje tutafute warembo huko Mkuu? Tatizo hutoagi code mkuu
 
Mtwara sehemu gani kaka tuje tutafute warembo huko Mkuu? Tatizo hutoagi code mkuu
Mkuu warembo wako singida huko huku wako wanawake wapenda mapenzi yaani kurombana so kama unavyojua mwanamke akiliwa liwa sana ndo anazidi kuwa mtamu karibu tu ila safari yako anzia hapo Kilwa then utanikuta Lindi nikupeleke huko msumbiji kwenye viuno masasi na tunduru yake kwa wayao
 
Back
Top Bottom