ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Me sio ma deal yangu hayo labda uniuzie changu nikiwa nakunywa chai (hanson choice) niwe nakavuta.Njoo nikuuzie kwa 8,000 kila moja ukawapige machinga huko ntwala kwa elfu 15.
Kumbe ndo viko cheap namna hio ebu picha yake tuone hivo vipipiNjoo nikuuzie kwa 8,000 kila moja ukawapige machinga huko ntwala kwa elfu 15.
Sad..βΉοΈHizo sigara zinapendwa Sana na wale vijana mashoga wa tabata ukiwakuta na kaptura zao fupi wamevaa wanajiona dunia yote ni Yao..
Kizazi hiki cha miaka hii ya 90's na 2000's wanaiga kilakitu ilimradi wanaonekane wajanja
π kaptura fupi huku wameninginiza funguo za crownHizo sigara zinapendwa Sana na wale vijana mashoga wa tabata ukiwakuta na kaptura zao fupi wamevaa wanajiona dunia yote ni Yao..
Kizazi hiki cha miaka hii ya 90's na 2000's wanaiga kilakitu ilimradi wanaonekane wajanja
Hivi Dar mnaionaje? Tuanzie hapo. Kwamba ukisikia harufu mbaya Mtwara basi Dar pameoza?Hizi e-cigarette wanazipatia wapi zinauzwa wapi mpaka zimeenea namna hii kama tu huku Mtwara nimeona watoto kundi kwenye michezo ya umitashumta wanavuta wanazo mbili je huko dar es salaam si ndo itakuwa Balaa.
Sigara hizi lengo Ilikuwa kuwapunguzia wavutaji wa tumbaku ile addiction ila zimewekwa flavour inaonekana, inewavutia sana watoto nasikia kinauzwa 15000 je kinauzwa maduka gani hayo Mpaka wafanyabishara wakubali kuwauzia watoto?
Kama ulikuwepo mkuuπ kaptura fupi huku wameninginiza funguo za crown
Kiunoni π
Ova
Winston sio tamu haina flavour na inaumiza.. Unazijua lakini hizi za kuchaji isije kuwa huzifahamu hata kdgMtoto ashindwe kuvuta wiston sigara ya 200 aende kuvuta ya 15k sio kweli
Wa 90's tutoe hukoHizo sigara zinapendwa Sana na wale vijana mashoga wa tabata ukiwakuta na kaptura zao fupi wamevaa wanajiona dunia yote ni Yao..
Kizazi hiki cha miaka hii ya 90's na 2000's wanaiga kilakitu ilimradi wanaonekane wajanja