bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
bora unyamaze tu usilaumu mzazi, kwani imewahi kutokea huko Arusha hata ukasema 'wangezuia watoto?'Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa