Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mola ametupa akili. Dereva anaona maji lakini analazimisha kupita. Huwa siwaelewi watanzania tunapojifanya kumlilia Mungu hata wakati ambapo uzembe ulikuwa dhahiri.Mola muweza, apishilie mbali madhara yoyote kwa waja wake hao.
Nakubaliana na wewe. Wazazi na waalim wote wanabeba sehemu ya lawama. Hata viongozi wa serikali ya wilaya nao. Mvua kama ile kwa nini wasiamuru shule zifungwe?Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa
Ajali wanasema imesababishwa na maji mengi. Kuna uzembe kwa pande zote. Siyo ''ajali tu'' bali ni ajali ya uzembe.Ni ajali tu imetokea inaweza kutokea hata hiyo Jumatatu wala halikua kosa la wazazi
Mola ametupa akili. Dereva anaona maji lakini analazimisha kupita. Huwa siwaelewi watanzania tunapojifanya kumlilia Mungu hata wakati ambapo uzembe ulikuwa dhahiri.
Kweli mkuu, Sudan kusini hapo palitolewa tangazo na mamlaka za hali ya hewa kuwa patakuwa na joto kali serikali ikafunga shule wiki mbili, hapa kwetu kuna mizaha mpk yatokee maafa kama haya ndiyo utaona ndiyo hatua zinachukuliwaNakubaliana na wewe. Wazazi na waalim wote wanabeba sehemu ya lawama. Hata viongozi wa serikali ya wilaya nao. Mvua kama ile kwa nini wasiamuru shule zifungwe?
Jinga moja tu (dereva) linaingiza familia kadhaa kwenye misiba na uchungu usiopimika.Unaona maji mengi unapita kama huoni
Pole wazazi kupoteza watoto wenu.
Dah 😡😡😡Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali,
Shetani sio rafiki yetu hata kidogo, ukiacha mlango wazi kidogo anaharibu kila kitu... Ona alivyosababisha hasara kubwa namna hii. Yamkini mzazi amelipia ada ya mtoto ya mwaka mzima, mtoto anapotea na ada yake😭Jinga moja tu (dereva) linaingiza familia kadhaa kwenye misiba na uchungu usiopimika.
Nimekulia unyakyusani mkuu hata hapo najitahidi kuandika ...darasani kilugha hadi home....Poleni sana!
Isanga wewe pia una shida ya L na R !?
Harafu = Halafu.
ViherehereWazazi tubadilike
Mvua imenyesha usiku kucha...unatoa mtoto asbh aende wapi???
Kuna vitu vinaweza kuepukika