Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

Vyombo vya usalama barabarani viko kwenye kazi muhimu, kumbuka Rais ameingia jana Arusha

JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi, Justine Masejo, alisema
“Nipo kwenye msafara..."
 
School bus za siku hizi nvi noah na haice zilizo choka..kama icho kime pelelekwa na maji chapu tu
 
Kifo kikija kimekuja ndugu yangu. RIP
Huu ujinga nchi za watu waliishaachana nao,wanapambana kwa namna zote kuepuka lawama na majuto yanayoepukika.
IMG-20240410-WA0016.jpg
 
Wacha ujinga

Sijasema shule zifungwe...kwani siku zote mvua hazinyeshi???

Kuna zile siku mvua imenyesha usiku kucha kama leo..barabara hazipitiki, unatoa mtoto asbh aende wapi??
Hoja yako haina mashiko, masika mvua Inanyesha muda wowote
 
Hoja yako haina mashiko, masika mvua Inanyesha muda wowote
Mkuu kwa mvua ya usiku wa leo jamaa ana hoja...wapo watu hawatoi watoto mvua ikiwa kwa kiwango hiki wanasema labda ampeleke yeye shule kwa usafiri wake wengi tu na wengine wanatoa taarifa mvua ikiwa inanyesha nyingi apigiwe simu amfate yeye mwanae shuleni mbona kawaida hiyo mkuu au...
 
Huko nchi za watu kuna ajali pia. Upo sahihi kwenye maboresho ili kuzipunguza.
Nchi za watu bus za watoto hazina kodi wanatumia bus nzuri sana unaweza kukuta Hiace Quantum linachukua wanafunzi huku wanafunzi tunataka wapande kitu chochote harafu ajali zipungue sio kweli..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Kuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.

Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.

========== ==============

Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.

Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.

Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.

JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”

====== ====

WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.

Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”

Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.
Ilipaswa kusitisha shughuli zote mkoani Arusha na kuelekeza nguvu kwenye uokozi na matibabu
 
Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa
Mvua za masika zikinyesha miezi mitatu, atakaa nyumbani tu.
Vipi hapo nyumbani akiangukiwa na ukuta wa nyumba?
Gesi ikiripuka nyumba ikashika moto? You can't cheat
 
Kuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.

Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.

========== ==============

Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.

Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.

Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.

JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”

====== ====

WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.

Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”

Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.
Watoto wa mdogo wangu nao wan
Kuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.

Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.

========== ==============

Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.

Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.

Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.

JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”

====== ====

WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.

Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”

Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.
Watoto wa mdogo wangu wawili wanasoma hiyo shule Mungu mkubwa leo aliwazuia wasiende shule kutokana na hali ya hewa, Rest in peace little Angels
 
Back
Top Bottom