imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Huyu Mkuu wa Mkoa ana Damu za Wasiokuwa na hatia tutaendelea kumsimanga.Duu siasa kwenye kila jambo !
Kabla ya Makonda Arusha hapakuwahi kutokea ajali ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mkuu wa Mkoa ana Damu za Wasiokuwa na hatia tutaendelea kumsimanga.Duu siasa kwenye kila jambo !
Kabla ya Makonda Arusha hapakuwahi kutokea ajali ?
Mbeghe na bangi si vya kuchanganyalMakonda amekuja na mabalaa
Kwa hiyo masika yote shule zifungwe?Wazazi tubadilike
Mvua imenyesha usiku kucha...unatoa mtoto asbh aende wapi???
Kuna vitu vinaweza kuepukika
Wacha ujingaKwa hiyo masika yote shule zifungwe?
Huu ujinga nchi za watu waliishaachana nao,wanapambana kwa namna zote kuepuka lawama na majuto yanayoepukika.Kifo kikija kimekuja ndugu yangu. RIP
Huko nchi za watu kuna ajali pia. Upo sahihi kwenye maboresho ili kuzipunguza.Huu ujinga nchi za watu waliishaachana nao,wanapambana kwa namna zote kuepuka lawama na majuto yanayoepukika.View attachment 2961379
Hata wewe mkuu?Makonda amekuja na mabalaa
Hoja yako haina mashiko, masika mvua Inanyesha muda wowoteWacha ujinga
Sijasema shule zifungwe...kwani siku zote mvua hazinyeshi???
Kuna zile siku mvua imenyesha usiku kucha kama leo..barabara hazipitiki, unatoa mtoto asbh aende wapi??
Mkuu kwa mvua ya usiku wa leo jamaa ana hoja...wapo watu hawatoi watoto mvua ikiwa kwa kiwango hiki wanasema labda ampeleke yeye shule kwa usafiri wake wengi tu na wengine wanatoa taarifa mvua ikiwa inanyesha nyingi apigiwe simu amfate yeye mwanae shuleni mbona kawaida hiyo mkuu au...Hoja yako haina mashiko, masika mvua Inanyesha muda wowote
Nchi za watu bus za watoto hazina kodi wanatumia bus nzuri sana unaweza kukuta Hiace Quantum linachukua wanafunzi huku wanafunzi tunataka wapande kitu chochote harafu ajali zipungue sio kweli..Huko nchi za watu kuna ajali pia. Upo sahihi kwenye maboresho ili kuzipunguza.
Ni sahihi na hakuna anayejali. Watoto wamepoteza uhai kisa ujuaji wa mjinga mmoja. Inasikitisha sana.Maisha ya binadamu yanachukuliwa poa sana
Pole sana mkuuNimelia kwa uchungu 😭😭
Mungu anahusikaje hapo?Naomba Mungu....nisije zika wanangu...bali waje wanizike mimi..Amen
Ilipaswa kusitisha shughuli zote mkoani Arusha na kuelekeza nguvu kwenye uokozi na matibabuKuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.
Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.
========== ==============
Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.
Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.
Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.
JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”
====== ====
WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.
Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”
Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.
Mvua za masika zikinyesha miezi mitatu, atakaa nyumbani tu.Wazazi nao hawajifikirii kweli!? Na mvua hizi bado unaruhusu mwanao aende shule? Siku yenyewe moja tu halafu weekend mimi nisingemruhusu angesubiria jtatu na penyewe ingetegemea na hali ya hewa
Watoto wa mdogo wangu nao wanKuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.
Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.
========== ==============
Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.
Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.
Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.
JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”
====== ====
WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.
Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”
Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.
Watoto wa mdogo wangu wawili wanasoma hiyo shule Mungu mkubwa leo aliwazuia wasiende shule kutokana na hali ya hewa, Rest in peace little AngelsKuna taarifa nimeipata kutoka kwa jamaa yangu flani yupo Arusha ananiambia amepita mitaa ya Dampo, Sinoni anadai kuna basi mali ya Shule ya Msingi Ghati Memorial limeanguka kwenye korongo kutokana na mvua kubwa ambayo imenyesha pande hizo kuanzia usiku wa kuamkia leo Tarehe 12 hadi alfajiri.
Inadaiwa kulikuwa na Wanafunzi kadhaa kwenye basi hilo ila hana uhakika, mliopo Arusha tujuzeni kinachoendelea.
========== ==============
Wanafunzi Saba wanahofiwa kupoteza maisha baada ya gari la Shule ya Msingi Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo linalopitisha maji Mitaa ya Dampo, Sinoni.
Inadaiwa chanzo ni dereva kushindwa kulidhibiti gari alipofika eneo la tukio kutokana na mvua kubwa iliyonyesha kuanzia usiku hadi alfajiri ya leo Aprili 12, 2024.
Taarifa kutoka eneo la tukio imedaiwa Wanafunzi saba hawajulikani walipo, Watatu wameokolewa na mwili mmoja umepatikana, Dereva wa gari naye ameokolewa na yupo chini ya ulinzi.
JamiiForums ilipomtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, SACP Justine Masejo amesema “Nipo kwenye msafara, ila hizo taarifa nimezipata, kikosi cha Uokozi nipo eneo la tukio na Wanafunzi saba hawajulikani walipo wengine wameokolewa, taarifa kamili tutaitoa baadaye.”
====== ====
WANANCHI WASHIRIKI KUTAFUTA WATOTO WALIOKUWA KWENYE ‘SCHOOL BUS’
Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi Saba ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule walilopanda kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024.
Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva na Matroni wameokolewa, mwili mmoja umepatikana, Wananchi wameingia mtoni, wengine wamepewa usafiri kufuata uelekeo wa mto ili kuwatafuta ambao hawajapatikana.”
Aidha, inadaiwa Dereva wa ‘School Bus’ alipofika eneo la tukio alionywa na Bodaboda kutopita wakimsisitiza kuwa kasi ya maji ni kubwa, akalazimisha kupita akiwaambia alipita hapo awali, baada ya ajali na dereva kuokolewa, Bodaboda hao wakaanza kumshambulia kwa kumpiga, akaokolewa na Wasamalia wema.