Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

Wanafunzi Saba wahofiwa kupoteza Maisha baada ya School Bus kuanguka kwenye korongo (Sinoni, Arusha)

Pole Kwa familia kama mzazi maumivu ni makubwa mno, Mungu aendelee kutunza familia zetu
 
Sometime tuwe makini sisi wazazi ukiona hali ya hewa si rafiki ni bora ukamkataza mtoto asiende shule ni jukumu letu wazazi kuangalia watoto.
 
Mungu asaidie, poleni sana wafiwa majeruhi Mungu awaponye, marehemu wote wapumzike kwa Amani.
 
Mungu asaidie, poleni sana wafiwa majeruhi Mungu awaponye, marehemu wote wapumzike kwa Amani.
 
Mungu asaidie, poleni sana wafiwa majeruhi Mungu awaponye, marehemu wote wapumzike kwa Amani.
 
Inaumiza..... inauma mpk basi, vitoto haviwezi kujitetea maskini.

Viongozi mtusaidi, madereva wengi wa sch bus Arusha ni vijana...hawana utulivu, walevi wala miraa.

Km dereva aliona hapa kuna mashaka kwa mm kupita why aling'ang'ania kupitisha gari??
 
Mkuu wa Mkoa mwenye gundu kapelekwa.

Damu za Watu wasiokua na hatia.
 
Dereva watumie akili usilazimishe kipita ili hali HUNA uhakika wa usalama wako.

Ni Bora uzunguke.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Back
Top Bottom