Mungu ambariki sana huyu mwalimu. Hawa walimu wanaokuwa bize na kazi ya ualimu huwa wanafaulisha sana wanafunzi lakini kimaisha wanakuwa nyuma kwa sababu muda mwingi wanautumia katika kazi ya ualimu kuliko kutafuta pesa.
Tazama huyo mwalimu alikuwa hana hata baiskeli mpaka kanunuliwa na wanafunzi.
Walimu wengine kama Mpwayungu village wanatumia muda mwingi kutafuta pesa kuliko kufundisha watoto ili wajiongezee kipato kwa sababu wanaona serikali imewatelekeza.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Tazama huyo mwalimu alikuwa hana hata baiskeli mpaka kanunuliwa na wanafunzi.
Walimu wengine kama Mpwayungu village wanatumia muda mwingi kutafuta pesa kuliko kufundisha watoto ili wajiongezee kipato kwa sababu wanaona serikali imewatelekeza.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app