Wanafunzi wa advance Chamwino wamnunulia mwalimu wa hesabu baiskeli kwa kutambua mchango wake!

Wanafunzi wa advance Chamwino wamnunulia mwalimu wa hesabu baiskeli kwa kutambua mchango wake!

Mungu ambariki sana huyu mwalimu. Hawa walimu wanaokuwa bize na kazi ya ualimu huwa wanafaulisha sana wanafunzi lakini kimaisha wanakuwa nyuma kwa sababu muda mwingi wanautumia katika kazi ya ualimu kuliko kutafuta pesa.

Tazama huyo mwalimu alikuwa hana hata baiskeli mpaka kanunuliwa na wanafunzi.

Walimu wengine kama Mpwayungu village wanatumia muda mwingi kutafuta pesa kuliko kufundisha watoto ili wajiongezee kipato kwa sababu wanaona serikali imewatelekeza.



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Sio kila mtu motivation ya akifanyacho ni kuwinda pesa tu ingekuwa ni hivyo tusingekuwa na masista au mapadre

Bill Gates aliwahi hojiwa siri ya mafanikio yake nini hadi.kuwa bilionea namba moja duniani akasema siri moja penda kitu chako kifanyie kazi kwa nguvu akili na juhudi zote pesa na shukrani zitakuja baadaye

Akasema yeye anapenda sana kazi zake za Microsoft products na hulala masaa matatu kwa siku akasema kupenda kazi yangu kumesaidia watu kunipa pesa kwa kununua bidhaa zangu

Akasema penda unachofanya utafanikiwa

Huyo mwalimu yuko vizuri anapenda anachofanya na matunda yanaanza kuonekana

Sasa mwalimu hupendi ualimu.mitoto haielewi unachofundisha matokeo yakija ma FFF kibao unataka nani aku reward?

Unatakiwa kuwa na concentration kama umeamua kuwa Mwalimu concentrate kwenye ualimu utalipa tu sio uko darasani unawaza duka lako au bodaboda yako .Utafundisha chini ya kiwango na kuzalisha matokeo mabovu mno ambayo ungekuwa shule za private wanakufukuza kazi

Narudia sio kila umuonaye kazini motivation yake ni pesa kama wewe ndio maana ualimu unaotwa wito

Huyo mwalimu ana wito halisi wa ualimu
Walimu msinipopoe jamani mie ligi siwezi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Wanafunzi wa Kidato cha sita Shule ya Sekondari Chamwino wamempa FURAHA YA KUSHTUKIZA mwalimu wao wa HESABU/ADVANCED MATHEMATICS MR. EMANUEL GEORGE KIPAHO kwa kumnunulia usafiri wa Baiskeli kwa kutambua mchango wake na juhudi zake anazozitoa kufundisha darasani na muda wake wa Ziada. Shule hii ina michepuo miwili ya EGM NA CBG mwalimu huyu amekuwa mhimili sana kwa wanafunzi hawa. Matokeo ya kidato cha sita kwa shule hii yamekuwa yakiongozwa na mchepuo wa EGM. Nafikiri CHAMA CHA WALIMU pamoja na Serikali tuendelee kutoa motisha na Hamasa kwa walimu kama hawa kwani richa ya kutimiza majukumu yao lakini wanatumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanapata kizazi Bora. Leo hawa wanafunzi wametoa Baiskeli kulingana na uwezo wao kuna siku watatoa zawadi ya gari. Chama kinaweza kuwatambua hata kwa kuwapa vyeti vya uwajibikaji Bora hii itapelekea Walimu kujituma zaidi. Mwalimu Kipaho Pia ni Mwalimu wa Nidhamu. Mungu amjalie afya pamoja na walimu wote wanaotumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanafunzi wanafanya vzr.💪
View attachment 2702939
Hawa madogo wameupiga mwingi
 
Bila comment ya Mpwayungu uzi ni batili
 
Huo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
We utakuwa mwalimu ila kilaza una wivu na mwalimu mwenzako kwa kupendwa na wanafunzi.

Mwalimu kilaza huwachukia wanafunzi kwni hana kingine zaidi ya ukali.
 
Sio kila mtu motivation ya akifanyacho ni kuwinda pesa tu ingekuwa ni hivyo tusingekuwa na masista au mapadre

Bill Gates aliwahi hojiwa siri ya mafanikio yake nini hadi.kuwa bilionea namba moja duniani akasema siri moja penda kitu chako kifanyie kazi kwa nguvu akili na juhudi zote pesa na shukrani zitakuja baadaye

Akasema yeye anapenda sana kazi zake za Microsoft products na hulala masaa matatu kwa siku akasema kupenda kazi yangu kumesaidia watu kunipa pesa kwa kununua bidhaa zangu

Akasema penda unachofanya utafanikiwa

Huyo mwalimu yuko vizuri anapenda anachofanya na matunda yanaanza kuonekana

Sasa mwalimu hupendi ualimu.mitoto haielewi unachofundisha matokeo yakija ma FFF kibao unataka nani aku reward?

Unatakiwa kuwa na concentration kama umeamua kuwa Mwalimu concentrate kwenye ualimu utalipa tu sio uko darasani unawaza duka lako au bodaboda yako .Utafundisha chini ya kiwango na kuzalisha matokeo mabovu mno ambayo ungekuwa shule za private wanakufukuza kazi

Narudia sio kila umuonaye kazini motivation yake ni pesa kama wewe ndio maana ualimu unaotwa wito

Huyo mwalimu ana wito halisi wa ualimu
Tunaweza kumpongeza mwalimu kwa moyo wake wa kujitolea leo lakini kwa jinsi mifumo ilivyo kwenye hii nchi ajue tu watakaoumia baadae ni watoto wake.
Atenge muda afanye mambo yake atengeneze uchumi wa familia yake.
 
Tunaweza kumpongeza mwalimu kwa moyo wake wa kujitolea leo lakini kwa jinsi mifumo ilivyo kwenye hii nchi ajue tu watakaoumia baadae ni watoto wake.
Mwalimu kama huyo usije tarajia kuona wanawe wakihangaika haiwezekani Anajitoa sana kwa watoto wa wengine na Mungu atasaidia wa kwake

Watu kama huyo mwalimu Mungu mwenyewe huwasimamia mambo yao na uzao wao

Biblia imeatamka hivyo

Zaburi 37:25 inasema​

Nalikuwa kijana nami sasa ni mzee, Lakini sijamwona mwenye haki ameachwa Wala mzao wake akiomba chakula.
 
Huo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Kwani yanajitambua bc
 
Hata wangenunua kalamu mbili na kumpa kama ishara ya asante ingempa sana moyo mwalimu. Hicho kinaweza kuwa kitu kidogo lakini kina maana kubwa sana kwake.
Ni kweli kabisa Hata wangempa shilingi 500 ina maana kubwa mno kwake
 
Wanafunzi wa Kidato cha sita Shule ya Sekondari Chamwino wamempa FURAHA YA KUSHTUKIZA mwalimu wao wa HESABU/ADVANCED MATHEMATICS, MR. EMANUEL GEORGE KIPAHO kwa kumnunulia usafiri wa Baiskeli kwa kutambua mchango wake na juhudi zake anazozitoa kufundisha darasani na muda wake wa Ziada.

Shule hii ina michepuo miwili ya EGM NA CBG mwalimu huyu amekuwa mhimili sana kwa wanafunzi hawa.

Matokeo ya kidato cha sita kwa shule hii yamekuwa yakiongozwa na mchepuo wa EGM.

Nafikiri CHAMA CHA WALIMU pamoja na Serikali tuendelee kutoa motisha na Hamasa kwa walimu kama hawa kwani licha ya kutimiza majukumu yao lakini wanatumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanapata kizazi Bora.

Leo hawa wanafunzi wametoa Baiskeli kulingana na uwezo wao kuna siku watatoa zawadi ya gari.

Chama kinaweza kuwatambua hata kwa kuwapa vyeti vya uwajibikaji Bora hii itapelekea Walimu kujituma zaidi.

Mwalimu Kipaho pia ni Mwalimu wa Nnidhamu. Mungu amjalie afya pamoja na Walimu wote wanaotumia muda wao wa ziada kuhakikisha Wanafunzi wanafanya vizuri.[emoji123]
View attachment 2702939
Hongera Sana kipaho uyu jamaa nampata MUNGU amuongezee baraka tele kwa kazi yake
 
Huo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Mkeo angekuwa anahitaji huduma ya kusaidiwa kujifungua mahali ambapo ni mbali na hospitali na kuna nesi yuko kwake amejipumzisha akaja kumsaidia usingeongea PUMBA kama hizi wewe hata kama unakwenda kanisani au msikitini unapoteza muda wako.
 
Nimemkumbuka mwalimu wetu wa biology Mzumbe high school mwaka 1985 mwl Mlelwa tulimpenda kiasi ambacho alitaka kwenda kwenda kulima madarasa yote matatu siku ya jumamosi tukaenda kumsaidia kwa hiari yetu ndani ya lisaa limoja shamba lote tukawa tumemaliza nina uhakika kwa wakati ule utakuwa umestaafu sasa.
 
Mkeo angekuwa anahitaji huduma ya kusaidiwa kujifungua mahali ambapo ni mbali na hospitali na kuna nesi yuko kwake amejipumzisha akaja kumsaidia usingeongea PUMBA kama hizi wewe hata kama unakwenda kanisani au msikitini unapoteza muda wako.
Complete moron,tafuta hela fanya kazi kulingana na mwongozo tofautisha hospital na shule ndo maana mnakufa maskini

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom