Tuombeane mema japo kinafkiInasikitisha sana Walimu wana hali duni cha ajabu kina Nape,Mwingulu,Makamba na mafisadi kede kede yanapadilisha magari daily Mungu wapasue Makende.
Walimu msinipopoe jamani mie ligi siweziSio kila mtu motivation ya akifanyacho ni kuwinda pesa tu ingekuwa ni hivyo tusingekuwa na masista au mapadre
Bill Gates aliwahi hojiwa siri ya mafanikio yake nini hadi.kuwa bilionea namba moja duniani akasema siri moja penda kitu chako kifanyie kazi kwa nguvu akili na juhudi zote pesa na shukrani zitakuja baadaye
Akasema yeye anapenda sana kazi zake za Microsoft products na hulala masaa matatu kwa siku akasema kupenda kazi yangu kumesaidia watu kunipa pesa kwa kununua bidhaa zangu
Akasema penda unachofanya utafanikiwa
Huyo mwalimu yuko vizuri anapenda anachofanya na matunda yanaanza kuonekana
Sasa mwalimu hupendi ualimu.mitoto haielewi unachofundisha matokeo yakija ma FFF kibao unataka nani aku reward?
Unatakiwa kuwa na concentration kama umeamua kuwa Mwalimu concentrate kwenye ualimu utalipa tu sio uko darasani unawaza duka lako au bodaboda yako .Utafundisha chini ya kiwango na kuzalisha matokeo mabovu mno ambayo ungekuwa shule za private wanakufukuza kazi
Narudia sio kila umuonaye kazini motivation yake ni pesa kama wewe ndio maana ualimu unaotwa wito
Huyo mwalimu ana wito halisi wa ualimu
Walimu wananipopoa hatari nakimbia uziMadam, umeongea point sana. We unafaa kuwa mke, nikaribishe PM tuyajenge.
Hawa madogo wameupiga mwingiWanafunzi wa Kidato cha sita Shule ya Sekondari Chamwino wamempa FURAHA YA KUSHTUKIZA mwalimu wao wa HESABU/ADVANCED MATHEMATICS MR. EMANUEL GEORGE KIPAHO kwa kumnunulia usafiri wa Baiskeli kwa kutambua mchango wake na juhudi zake anazozitoa kufundisha darasani na muda wake wa Ziada. Shule hii ina michepuo miwili ya EGM NA CBG mwalimu huyu amekuwa mhimili sana kwa wanafunzi hawa. Matokeo ya kidato cha sita kwa shule hii yamekuwa yakiongozwa na mchepuo wa EGM. Nafikiri CHAMA CHA WALIMU pamoja na Serikali tuendelee kutoa motisha na Hamasa kwa walimu kama hawa kwani richa ya kutimiza majukumu yao lakini wanatumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanapata kizazi Bora. Leo hawa wanafunzi wametoa Baiskeli kulingana na uwezo wao kuna siku watatoa zawadi ya gari. Chama kinaweza kuwatambua hata kwa kuwapa vyeti vya uwajibikaji Bora hii itapelekea Walimu kujituma zaidi. Mwalimu Kipaho Pia ni Mwalimu wa Nidhamu. Mungu amjalie afya pamoja na walimu wote wanaotumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanafunzi wanafanya vzr.💪
View attachment 2702939
We utakuwa mwalimu ila kilaza una wivu na mwalimu mwenzako kwa kupendwa na wanafunzi.Huo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Kwani halipwi mshahara?Tazama huyo mwalimu alikuwa hana hata baiskeli mpaka kanunuliwa na wanafunzi.
Tunaweza kumpongeza mwalimu kwa moyo wake wa kujitolea leo lakini kwa jinsi mifumo ilivyo kwenye hii nchi ajue tu watakaoumia baadae ni watoto wake.Sio kila mtu motivation ya akifanyacho ni kuwinda pesa tu ingekuwa ni hivyo tusingekuwa na masista au mapadre
Bill Gates aliwahi hojiwa siri ya mafanikio yake nini hadi.kuwa bilionea namba moja duniani akasema siri moja penda kitu chako kifanyie kazi kwa nguvu akili na juhudi zote pesa na shukrani zitakuja baadaye
Akasema yeye anapenda sana kazi zake za Microsoft products na hulala masaa matatu kwa siku akasema kupenda kazi yangu kumesaidia watu kunipa pesa kwa kununua bidhaa zangu
Akasema penda unachofanya utafanikiwa
Huyo mwalimu yuko vizuri anapenda anachofanya na matunda yanaanza kuonekana
Sasa mwalimu hupendi ualimu.mitoto haielewi unachofundisha matokeo yakija ma FFF kibao unataka nani aku reward?
Unatakiwa kuwa na concentration kama umeamua kuwa Mwalimu concentrate kwenye ualimu utalipa tu sio uko darasani unawaza duka lako au bodaboda yako .Utafundisha chini ya kiwango na kuzalisha matokeo mabovu mno ambayo ungekuwa shule za private wanakufukuza kazi
Narudia sio kila umuonaye kazini motivation yake ni pesa kama wewe ndio maana ualimu unaotwa wito
Huyo mwalimu ana wito halisi wa ualimu
Mwalimu kama huyo usije tarajia kuona wanawe wakihangaika haiwezekani Anajitoa sana kwa watoto wa wengine na Mungu atasaidia wa kwakeTunaweza kumpongeza mwalimu kwa moyo wake wa kujitolea leo lakini kwa jinsi mifumo ilivyo kwenye hii nchi ajue tu watakaoumia baadae ni watoto wake.
Naandika mkono unatetemeka, zawadi hii sio fadhira ni fedheha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpwayungu asiuone huu uzi aisee
Kwani yanajitambua bcHuo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Ni kweli kabisa Hata wangempa shilingi 500 ina maana kubwa mno kwakeHata wangenunua kalamu mbili na kumpa kama ishara ya asante ingempa sana moyo mwalimu. Hicho kinaweza kuwa kitu kidogo lakini kina maana kubwa sana kwake.
Hongera Sana kipaho uyu jamaa nampata MUNGU amuongezee baraka tele kwa kazi yakeWanafunzi wa Kidato cha sita Shule ya Sekondari Chamwino wamempa FURAHA YA KUSHTUKIZA mwalimu wao wa HESABU/ADVANCED MATHEMATICS, MR. EMANUEL GEORGE KIPAHO kwa kumnunulia usafiri wa Baiskeli kwa kutambua mchango wake na juhudi zake anazozitoa kufundisha darasani na muda wake wa Ziada.
Shule hii ina michepuo miwili ya EGM NA CBG mwalimu huyu amekuwa mhimili sana kwa wanafunzi hawa.
Matokeo ya kidato cha sita kwa shule hii yamekuwa yakiongozwa na mchepuo wa EGM.
Nafikiri CHAMA CHA WALIMU pamoja na Serikali tuendelee kutoa motisha na Hamasa kwa walimu kama hawa kwani licha ya kutimiza majukumu yao lakini wanatumia muda wao wa ziada kuhakikisha wanapata kizazi Bora.
Leo hawa wanafunzi wametoa Baiskeli kulingana na uwezo wao kuna siku watatoa zawadi ya gari.
Chama kinaweza kuwatambua hata kwa kuwapa vyeti vya uwajibikaji Bora hii itapelekea Walimu kujituma zaidi.
Mwalimu Kipaho pia ni Mwalimu wa Nnidhamu. Mungu amjalie afya pamoja na Walimu wote wanaotumia muda wao wa ziada kuhakikisha Wanafunzi wanafanya vizuri.[emoji123]
View attachment 2702939
Mkeo angekuwa anahitaji huduma ya kusaidiwa kujifungua mahali ambapo ni mbali na hospitali na kuna nesi yuko kwake amejipumzisha akaja kumsaidia usingeongea PUMBA kama hizi wewe hata kama unakwenda kanisani au msikitini unapoteza muda wako.Huo mda wa ziada ungekuwa na duka lako na mitego mingine,usingesubiri motisha.Mwalimu anayetafuta huwezi kumkuta anajikomba eti apewe nafasi ya kusimamia pepa ili apate laki sita wala kusahihisha necta,atafanya kazi kulingana na mwongozo basi.Mtu unapata mda wa kushinda na wanafunzi baada ya mda wa kazi huyo mtu atafanya maendeleo yake sa ngapi?
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Complete moron,tafuta hela fanya kazi kulingana na mwongozo tofautisha hospital na shule ndo maana mnakufa maskiniMkeo angekuwa anahitaji huduma ya kusaidiwa kujifungua mahali ambapo ni mbali na hospitali na kuna nesi yuko kwake amejipumzisha akaja kumsaidia usingeongea PUMBA kama hizi wewe hata kama unakwenda kanisani au msikitini unapoteza muda wako.