Wanafunzi wa advance Chamwino wamnunulia mwalimu wa hesabu baiskeli kwa kutambua mchango wake!

Wewe mpuuzi kama kila mtu angeangalia hela kwanza tungeishi kwa amani duniani?
 
Complete moron,tafuta hela fanya kazi kulingana na mwongozo tofautisha hospital na shule ndo maana mnakufa maskini

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Shule na Hospitali zote huduma za jamii
Wewe toka umeanza kutafita hela umekuwa Bakheresa au Mo.Dewji kwa utajiri una nini wewezaofi ya kuwa na visenti vya kuganga njaa tu Una nini cha maana wewe
 
Huyo mwalimu mzembe, anashindwa kopa pesa achukue hata fekon
 
Nakiona ki Uncle changu hapo kimetulia. Juzi kati ndiyo maana kimenipanga nikapangika kumbe ulikuwa mchango wa Teacher!
 
Msicho kijua ni kwamba usiku was tukio ticha Kwa furaha aliyokuwa nayo alilala nayo kitandani.
 
Sijui wataipitisha adhabu ya MLA rushwa za umma akatwe mkono!
Inasikitisha sana Walimu wana hali duni cha ajabu kina Nape,Mwingulu,Makamba na mafisadi kede kede yanapadilisha magari daily Mungu wapasue Makende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…