Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Waislamu nanyi anzisheni vyuo vya afya vya kutosha hapa mtakua mmewakomesha wakristo
 
Inaonekana unapenda sana kufukuliwa mtaro.Anyway turudi kwenye mada.Kama watoto wa Kiislam hawawezi kufuata masharti ya vyuo vya wakatoliki watafute vyuo vya Kiislam.Uzuri wakristu hawaendagi kwenye taasisi zenu
Kamuulize pap ishu za mitaro
 
Halafu mtaani wanaoongoza kuvaa madera na vijora wakiyachomekea kwenye chupi ni wanawake wa Kiislam.Wanaoongoza kukatika kwenye vigodoro ni wanawake wa Kiislam,wanaoongoza kutoa 0713 ni wanawake wa kiislam.Lakini hayo hayakemei anafuatilia kuwachokonoa wa imani isiyo yake.Temeke,Kinondoni,Mbagala yote na Ilala wamejaa wanawake wa Kiislam na wanaongoza kwa uchafu ambao anaufumbia macho
Na sehemu zinazoongoza kwa ushoga ni zanzibar, mombasa na pwani hiyo stara sijui huwa wanaipeleka wapi.
Masheikh wao tunakula nao kitimoto, kipindi cha ramadhani kitimoto inakosa soko.
 
Sehemu hata shule na vyuo kuna taratibu zake zinazotakiwa kuzingatiwa mtu akiona hiki chuo hakiandani na imani sio kesi afunge virago aende huko anakoona kunaendana na imani yake
Loh, umekuwa mkali sana, anataka kwenda kuogelea kempisky na dera, walinzi hawaruhusu kwanza nguo inachujia kwenye maji na kuacha kunguni zako toka vingunguti. Kempisky huingii swimming kama hujavaa kichupi chembamba, kama hutaki neda kwenye swimming huko Irani wanapooga na manguo ya kufunika mwili mzima.
 
Halafu mtaani wanaoongoza kuvaa madera na vijora wakiyachomekea kwenye chupi ni wanawake wa Kiislam.Wanaoongoza kukatika kwenye vigodoro ni wanawake wa Kiislam,wanaoongoza kutoa 0713 ni wanawake wa kiislam.Lakini hayo hayakemei anafuatilia kuwachokonoa wa imani isiyo yake.Temeke,Kinondoni,Mbagala yote na Ilala wamejaa wanawake wa Kiislam na wanaongoza kwa uchafu ambao anaufumbia macho
Tunaishi nao mitaani hakuna cha hijabu wala kanzu kuna uchafu wa kutosha
Waislamu wa Tanzania na Zanzibar kifupi uislamu wao ni wa Mwezi wa Ramadhani baada ya hapo wanakuwa makafiri wa kawaida tu

Mitaani wanamoishi sote mashahidi tunawajua
Mwezi wa Ramadhani wanakuwaga waislamu hilo halina ubishi gata ndoa za kiislamu zinakuwa safi mwezi wa Ramadhani .Ukiisha moto unawaka.
 
Huwezi KUKUBALI kufuga simba halafu useme nyumbani kwangu hakuliwi nyama eti kwa sababu unafuga Ngombe na Kondoo wanaokula nyasi. Suluisho ni Chuo kusema hakipokei wanafunzi wa Kiislam , lakini kwa kuwa kimekubali kuwapokea chenyewe, lazima kikubaliane na taratibu zao
Chuo kiseme tu tunapokea wanafunzi wa kila aina ila lazma wafuate shewri walizo zikuta.
Ukivikuta ndio vinaripoti mwaka wa kwanza utafikiri vitiifu, vikipata usajili tu ndio mauza uza yanaanza as if wamekwenda chuo cha afya kujifunza dini.
 
Nenda MUM kafiri wewe,huko ndo wanavaa hayo majalabibi,

Kwani ulipigiwa filimbi kwenda chuoni hapo?
 
Punguza migemko, walipotaka lujiunga na chuo walipewa joining instructions hawakuona dress code hazoruhusu hilo? Au hawakujua kama ni chuo cha kanisa nyie mnaita makafiri!?
Alafu si wajenge vyuo vyao!!Mnangangania nini vyuo vya Makafiri??Mtume wenu amesema mjitenge nao Nyie mnapenda vitu vyao vya nini?? Ata Iphone , TV Madawa ya Hospital ni made by Makafir Tafuteni vyenu achaneni nao
 
Unaelewa maana ya stara ?wnavaa vile kuepuka bughuzi kama kutongozwa hovyo huku barabarani sio lazima kisheria kuvaa ....ila kujifunika kichwa either kwa kanga hata nyasi ni lazima hata kweny ukristo .
Kutongoza hovyo hovyo manjiani ni Dalili mojawapo ya Ukichaaa na Pia ni Ushetani
 
Na sehemu zinazoongoza kwa ushoga ni zanzibar, mombasa na pwani hiyo stara sijui huwa wanaipeleka wapi.
Masheikh wao tunakula nao kitimoto, kipindi cha ramadhani kitimoto inakosa soko.
Kabisa kipindi cha Ramadhani soko la kitimoto huwa halipo na wengi hufunga kabisa hata sehemu za pombe husema wazi biashara mwezi wa Ramadhani huwa mbaya wateja hamna na Guest House pia huwa hazina wateja.Siku wakifungua tu guest vyumba full hata iwe.chafu chafu uchochoroni ,kitimoto cha foleni kusubiria kwenye vilevi hadi wenye mabaa hukodi viti vya ziada hasa siku zile za Idd

Umati wa mtume hufurika kwenye baa ,kitimoto na guest House kusherehekea kumaliza mfungo wa Ramadhani si Tanzania bara si Zanzibar
 
Onyesha joining instructions! Acha Uongo chuo hicho pakiwa na shoga ,hawawezi kumfukuza kwa tabia yake utasikia haki za binadamu.


Onyesha joining instructions ,Dressing code hakuna chuo kimechambua hakuna chuo kinakataza mavazi ya stara.

Vyuo vya kidini kwa ngazi ya chini haswa za kikristo ,hata sketi zao ni ndefu acha uongo.
Nenda MUM,acha kudai haki kwenye vyuo vya watu wewe
 
Unashangaa mtu hata sio mzuri halafu anajifunikafunika wakati hata akitembea uchi hakuna wa kumtamani.
 
Tatizo huko Mbulu ni kambi ya wakristo. Ninadhani ni wilaya mojawapo iliyosheheni wakristo wa kutosha. Mimi napenda jinsi wanawake wa kiislamu wanavyovaa ila huko waliko ni kwa wakristo watupu wafuate sheria za huko vinginevyo wahamie vyuo visivyo na hizo sheria. Hata wakristo wakiwa pemba huwa makini sana na mambo yao.
Wanwake wapi wa kiislamu unaopenda wanavyovaa?
Naomba picha na majina.

Mimi nakupa majina kwakuwa unawafahamu.
1. Zuchu.
2. Hamisa Mabeto.
3 Amber Rutty.
4. Lulu Diva.
5. Leyla Rashid.
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Kama wanaruhusu kupokea wanafunzi hao kwanini wawakataze kuvaa ivo
 
Unashangaa mtu hata sio mzuri halafu anajifunikafunika wakati hata akitembea uchi hakuna wa kumtamani.
Nieleze siri mbili za watu wa kujifunika
Huko kujifunika kuna siri nyingi wengine huweka mito kwenye makalio aonekane anayo makubwa mtu akioa anashangaa kumbe kimbaumbau tu alikuwa akiwinda wanaume wa kumuoa misikitini

Mwingine wale wajifunika gubigubi kubakia macho tu swala tano kijana wa watu kajitosa kuoa anaenda naye kitandani kufika mwili wote kajaa vidonda mwili mzima mpaka viganjani alikokuwa akigicha kwa kuvaa soksi kumbe ana haya maradhi ya kisasa Madonda kila kona akabaki mdomo wazi .Wakaachana ndani ya muda mfupi tu na huyo mvaa ninja na soksi kwenye viganja na miguuni kwenye nyayo na kubakiza macho tu na yenyewe akiyavalia miwani myeusi

Mpaka kesho yule kidume Chapombe na malaya wa kutupwa .Kumbukumbu ile ilimharibu kisaikolojia baada ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia msikitini

Binafsi nikikumbuka hicho kisa nikikutana na mwanamke wa kiislamu kavaa ninja na nkabu na miwani na soksi miguuni kwenye nyayo na soksi mikononi huwa naangua kicheko
 
Inafikirisha kiukweli.

Mavazi ambayo MTU anavaa yenye stara ni muhimu Sana. Kwa IMANI yake.

Hicho chuo chakijinga Sana
 
Back
Top Bottom