Cohenlukinga
JF-Expert Member
- Nov 13, 2022
- 279
- 352
Waislamu nanyi anzisheni vyuo vya afya vya kutosha hapa mtakua mmewakomesha wakristoHabari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Kamuulize pap ishu za mitaroInaonekana unapenda sana kufukuliwa mtaro.Anyway turudi kwenye mada.Kama watoto wa Kiislam hawawezi kufuata masharti ya vyuo vya wakatoliki watafute vyuo vya Kiislam.Uzuri wakristu hawaendagi kwenye taasisi zenu
Na sehemu zinazoongoza kwa ushoga ni zanzibar, mombasa na pwani hiyo stara sijui huwa wanaipeleka wapi.Halafu mtaani wanaoongoza kuvaa madera na vijora wakiyachomekea kwenye chupi ni wanawake wa Kiislam.Wanaoongoza kukatika kwenye vigodoro ni wanawake wa Kiislam,wanaoongoza kutoa 0713 ni wanawake wa kiislam.Lakini hayo hayakemei anafuatilia kuwachokonoa wa imani isiyo yake.Temeke,Kinondoni,Mbagala yote na Ilala wamejaa wanawake wa Kiislam na wanaongoza kwa uchafu ambao anaufumbia macho
😅😅😅Nyie mnaruhusu kabisa ,hiyo nguvu mnayotumia mda huo watu wanazidi kujua ukweliUtakufa na sonona ndugu yangu fuatilia uwahubirie wenzie akina Amber Rutty waache dhambi!
Loh, umekuwa mkali sana, anataka kwenda kuogelea kempisky na dera, walinzi hawaruhusu kwanza nguo inachujia kwenye maji na kuacha kunguni zako toka vingunguti. Kempisky huingii swimming kama hujavaa kichupi chembamba, kama hutaki neda kwenye swimming huko Irani wanapooga na manguo ya kufunika mwili mzima.Sehemu hata shule na vyuo kuna taratibu zake zinazotakiwa kuzingatiwa mtu akiona hiki chuo hakiandani na imani sio kesi afunge virago aende huko anakoona kunaendana na imani yake
Tunaishi nao mitaani hakuna cha hijabu wala kanzu kuna uchafu wa kutoshaHalafu mtaani wanaoongoza kuvaa madera na vijora wakiyachomekea kwenye chupi ni wanawake wa Kiislam.Wanaoongoza kukatika kwenye vigodoro ni wanawake wa Kiislam,wanaoongoza kutoa 0713 ni wanawake wa kiislam.Lakini hayo hayakemei anafuatilia kuwachokonoa wa imani isiyo yake.Temeke,Kinondoni,Mbagala yote na Ilala wamejaa wanawake wa Kiislam na wanaongoza kwa uchafu ambao anaufumbia macho
Chuo kiseme tu tunapokea wanafunzi wa kila aina ila lazma wafuate shewri walizo zikuta.Huwezi KUKUBALI kufuga simba halafu useme nyumbani kwangu hakuliwi nyama eti kwa sababu unafuga Ngombe na Kondoo wanaokula nyasi. Suluisho ni Chuo kusema hakipokei wanafunzi wa Kiislam , lakini kwa kuwa kimekubali kuwapokea chenyewe, lazima kikubaliane na taratibu zao
Alafu si wajenge vyuo vyao!!Mnangangania nini vyuo vya Makafiri??Mtume wenu amesema mjitenge nao Nyie mnapenda vitu vyao vya nini?? Ata Iphone , TV Madawa ya Hospital ni made by Makafir Tafuteni vyenu achaneni naoPunguza migemko, walipotaka lujiunga na chuo walipewa joining instructions hawakuona dress code hazoruhusu hilo? Au hawakujua kama ni chuo cha kanisa nyie mnaita makafiri!?
Kutongoza hovyo hovyo manjiani ni Dalili mojawapo ya Ukichaaa na Pia ni UshetaniUnaelewa maana ya stara ?wnavaa vile kuepuka bughuzi kama kutongozwa hovyo huku barabarani sio lazima kisheria kuvaa ....ila kujifunika kichwa either kwa kanga hata nyasi ni lazima hata kweny ukristo .
Kabisa kipindi cha Ramadhani soko la kitimoto huwa halipo na wengi hufunga kabisa hata sehemu za pombe husema wazi biashara mwezi wa Ramadhani huwa mbaya wateja hamna na Guest House pia huwa hazina wateja.Siku wakifungua tu guest vyumba full hata iwe.chafu chafu uchochoroni ,kitimoto cha foleni kusubiria kwenye vilevi hadi wenye mabaa hukodi viti vya ziada hasa siku zile za IddNa sehemu zinazoongoza kwa ushoga ni zanzibar, mombasa na pwani hiyo stara sijui huwa wanaipeleka wapi.
Masheikh wao tunakula nao kitimoto, kipindi cha ramadhani kitimoto inakosa soko.
Nenda MUM,acha kudai haki kwenye vyuo vya watu weweOnyesha joining instructions! Acha Uongo chuo hicho pakiwa na shoga ,hawawezi kumfukuza kwa tabia yake utasikia haki za binadamu.
Onyesha joining instructions ,Dressing code hakuna chuo kimechambua hakuna chuo kinakataza mavazi ya stara.
Vyuo vya kidini kwa ngazi ya chini haswa za kikristo ,hata sketi zao ni ndefu acha uongo.
Wanwake wapi wa kiislamu unaopenda wanavyovaa?Tatizo huko Mbulu ni kambi ya wakristo. Ninadhani ni wilaya mojawapo iliyosheheni wakristo wa kutosha. Mimi napenda jinsi wanawake wa kiislamu wanavyovaa ila huko waliko ni kwa wakristo watupu wafuate sheria za huko vinginevyo wahamie vyuo visivyo na hizo sheria. Hata wakristo wakiwa pemba huwa makini sana na mambo yao.
Hijabu siyo udini. Ndio maana nuns wa kikatoliki nao wanafunika kichwa na hawakatazwiHakiendeshwi kidini ndio maana wamekataza kuvaa hijabu, kuvaa hijabu si ndio udini wenyewe au!?
Kama wanaruhusu kupokea wanafunzi hao kwanini wawakataze kuvaa ivoChuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Nieleze siri mbili za watu wa kujifunikaUnashangaa mtu hata sio mzuri halafu anajifunikafunika wakati hata akitembea uchi hakuna wa kumtamani.
Kuvaa nguo zinazohifadhi maungo ya mwili eg kuvaa ushungi na nguo ndefuStara ndo nini?
Wanwake wapi wa kiislamu unaopenda wanavyovaa?
Naomba picha na majina.
Mimi nakupa majina kwakuwa unawafahamu.
1. Zuchu.
2. Hamisa Mabeto.
3 Amber Rutty.
4. Lulu Diva.
5. Leyla Rashid