Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

Wanafunzi wa kike wa kiislamu wanazuiliwa kuivaa stara Chuo cha Mafunzo ya Sayansi za Afya Hydom

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Umeghairi nini? Njia rahisi, tumtafute aliyevaa nikabu ambaye amekuja kuswali ila hajaolewa tukampime bikra.
Tukimkuta ana bikra, nakupa 1M cash πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Umeghairi nini? Njia rahisi, tumtafute aliyevaa nikabu ambaye amekuja kuswali ila hajaolewa tukampime bikra.
Tukimkuta ana bikra, nakupa 1M cash πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Hasa Mimi na wewe hatujuwa twa mtafutia wapiπŸ˜ƒ
 
08 March 2024

Mh. Rais Samia Hassan: Msinizingue, Walidhani Nitashindwa, sichelewi kutoa maamuzi

1709996853376.png

Amesema hayo katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani IWD tarehe 8 March 2024
 
Rais Samia Hassan: Binadamu Wote Ni Sawa, Wote Tuna Akili Sawa Bila Kujali Jinsia

1709997344769.png

Mheshimiwa rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania rais Dr. Samia Hassan ayasema hayo katika kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani IWD alipokuwa akijibu masuala mbalimbali ikiwemo maoni ya baadhi ya watu kuhusu mwanamke na kusema sote tuna akili sawa bila kujali huyu ni mwanaume au mwanamke.

Siku ya Mwanamke Duniani tarehe 8 March 2024 iliadhimishwa kwa matamko mbalimbali kote katika jamhuri ya Muungano Tanzania na wanawake kuzungumzia masuala mbalimbali ya taifa letu.
 
Taja kiongozi 1 ya kiisilamu anae sapoti ushoga kama alivyo papa na angirikana nitajie 1 tu kisha unitajie msikiti hata 1 duniani unaohalalisha ushoga kama yalivyo makanisa ya ulaya
Kwa mujibu wa Mange aliyekuwa sheikh wa dms anafirimbwa
 
Taja kiongozi 1 ya kiisilamu anae sapoti ushoga kama alivyo papa na angirikana nitajie 1 tu kisha unitajie msikiti hata 1 duniani unaohalalisha ushoga kama yalivyo makanisa ya ulaya
Mikoa yote inayoongoza kuwa na idadi kubwa ya mashoga ni pamoja wanakokaa ndg zako ktk imaan
 
Wazuiliwe tu hata ikiwezekana wapigwe marufuku kujifukiza bila kupenda jua lote hilo na miguo myeusi utadhani majini ya mayele!

Ufaransa walishapiga marufuku hiyo minguo
Kinacho watesa ndugu zetu Hawa ni kushindwa kuishi kufuatana na mazingira
 
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.

Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
MSITUSUMBUE NENDENI NENDENI KIBITI MKAVAE HAYO MADUDE YENU.
 
Niseme tu kwamba, vazii lolote linalogusa chini ktk mazingira ya hospital si salama kwa mvaaji na wanaomzunguka mvaaji.
 
Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Wanafunzi haohao wakiwa nyumbani hawavai, kwanza inaondoa dhana ya uniformity. Jitegemee Secondary School walikataaga haya mambo maana inaleta utofauti kabisa. Shule za kata na msingi za kiswahili zimejaa shungi lakini haohao tunawaona mtaani wakiwa kawaida nachukia sana
 
Habari,

Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Hicho chuo ni cha kidini kina mashart yake kama hawataki watafute vyuo vya serikal walivyowaruhusu kuvaa wanavyotaka au wafungue vyuo vyao
 
Bure kabisa kabisa.....
Waende wakasome siyo kuleta mambo ya kujifunika na nini na nini!
Unafiki mtupu!
Kwanza wale wa kujifunika wanachanuwa mtaani hatari...
Na ushahidi tunawo!
 
Niseme tu kwamba, vazii lolote linalogusa chini ktk mazingira ya hospital si salama kwa mvaaji na wanaomzunguka mvaaji.
Hata kwa wahudumu katika migahawa na Hotel si salama kwa usafi na afya ya walaji.
 
Back
Top Bottom