Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo vituko wanafanyiwa Waislam kila siku lakini hautakuta masista wa kanisani, hata wakiwa shule au vyuoni wakivuliwa stara zao.
Stara ndo nini?
Makafiri wana chuki sana na waislamHivyo vituko wanafanyiwa Waislam kila siku lakini hautakuta masista wa kanisani, hata wakiwa shule au vyuoni wakivuliwa stara zao.
Ni uoga tu wa Uislam (phobia).
Umewahi kupita Muslims Morogoro? Pale Dini ni moja tu Uislam,hadi fimbo zipo pale wanachapana.......kama huwezi kusoma hapo tafuta chuo kingineHabari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Mbona mnataka kuwapangianwatu utaratibi wa kuendesha maisha kwa namna mnavyotaka nyie?Ikitokea sehemu ya waislamu ikakataa mavazi yao ,hilo balaa lake 😁😁😁wala nguruwe utasikia sijui Mung anaangalia moyo.
Hapo wanatetea eti kwa vile Sheria za kikristo...kama hamruhusu basi toeni na lile sanamu lililovaa hijab pale
Hili sanamu mulitoe kabisa maana limevaa hijab😅😅👇
View attachment 2919690
Ujinga ni wa kwenu wa kutaka kulazimisha wasio na imani yenu waishi kama ninyi.Sista kuvaa anavyovaa na padri kuvaa anavyovaa hailazimishi muumini kuvaa hivyo pia.Hivyo vituko wanafanyiwa Waislam kila siku lakini hautakuta masista wa kanisani, hata wakiwa shule au vyuoni wakivuliwa stara zao.
Ni uoga tu wa Uislam (phobia).
Makafiri wana chuki sana na waislamHivyo vituko wanafanyiwa Waislam kila siku lakini hautakuta masista wa kanisani, hata wakiwa shule au vyuoni wakivuliwa stara zao.
Ni uoga tu wa Uislam (phobia).
Vipo vyuo Vingiii tuuu sio.lazim waende chuo hich cha KKKTHabari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Dini inayokufanya uwaite wwlanadamu wenzio makafiri haikufai.Achana nayoMakafiri wana chuki sana na waislam
We ni kafiri kubali tu na kama inauma chomoaaaaDini inayokufanya uwaite wwlanadamu wenzio makafiri haikufai.Achana nayo
uko poa boss?
Habari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Wakati wana apply chuo walikuwa hawajui hayo? Vipi hawakusoma joining instructions?Habari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
kila chuo na taratibu zake, ikizingatia icho ni chuo cha kanisa.Habari,
Wanafunzi wa kiislam katika chuo Cha mafunzo ya sayansi za afya Haydom wanapata changamoto ya kuvaa stara wakati Wizara ya Afya imeruhusu wanafunzi wa kiislam kuvaa ushungi na nguo ndefu zenye maadili.
Sijawahi kumkana Mungu kama weweWe ni kafiri kubali tu na kama inauma chomoaaaa
Chuo kinamilikiwa na kanisa, ya nini kuingiza tamaduni za kiislam ndani ya ukristo? Vyuo viko vingi hao wanafunzi waislam wakasome huko wanakovaa ushungi.
Chuo kina dressing code yake msing'ang'ane na shungi zenu vaeni wanavyotaka wenye chuo
Achana nao hawa akina kahtaan wafia mila na desturi za kiarabu. Hawajielewi wanataka nini.