Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

Attachments

Asante sana ndugu, vipi vitabu vya Farouk Topan kama Aliyeionja pepo na Mfalme Juha naweza vipata?

Pia Siri ya Giningi cha Said Mohammed

Akipatikana mtu aliyenavyo pengine atatuwekea hapa.

Kuna mdau ameniahidi vitabu vyote vya Bwana MSA (Siri ya Sifuri, Kisima cha Giningi, Kosa la Bwana Msa na Duniani Kuna Watu) pamoja na kazi zote za Kezilahabi. Nikizipata nitakuwekea mkuu.

Naamini na wewe unavyo baadhi huko. Tuwekee nasi hapa.....
Screenshot_20220521-152828_Chrome.jpg
Screenshot_20220521-152820_Chrome.jpg
 
Habari kama kuna mdau Ana kitabu kinachohusu zile kozi za office attendant au office assistant basi akipandishe hapa.
 
Akipatikana mtu aliyenavyo pengine atatuwekea hapa.

Kuna mdau ameniahidi vitabu vyote vya Bwana MSA (Siri ya Sifuri, Kisima cha Giningi, Kosa la Bwana Msa na Duniani Kuna Watu) pamoja na kazi zote za Kezilahabi. Nikizipata nitakuwekea mkuu.

Naamini na wewe unavyo baadhi huko. Tuwekee nasi hapa.....
View attachment 2233533View attachment 2233535
Ngoja nipitie maktaba yangu maana vichache nilivyonavyo naona vimeshatumwa humu
 
Nitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani

Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati

[emoji3591][emoji3591][emoji3591]
Mods please msiunganishe uzi huu na nyuzi zingine za vitabu.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya vitabu vya shuleni na vyuoni tu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]


Ahsante sana kwa marejeo muhimu ya watoto wetu shuleni
 
Back
Top Bottom