Biological science mkuu ..
Kwema kabisa mkuu za siku?Kwema braza?
Natumaini unaendelea vyema...[emoji1545]
Jaribu hivi:Biological science mkuu ..
Asante sana ndugu, vipi vitabu vya Farouk Topan kama Aliyeionja pepo na Mfalme Juha naweza vipata?Vitabu vya Shaaban Robert hivi hapa:
View attachment 2229564
View attachment 2229565
View attachment 2229566
Asante sana ndugu, vipi vitabu vya Farouk Topan kama Aliyeionja pepo na Mfalme Juha naweza vipata?
Pia Siri ya Giningi cha Said Mohammed
Ngoja nipitie maktaba yangu maana vichache nilivyonavyo naona vimeshatumwa humuAkipatikana mtu aliyenavyo pengine atatuwekea hapa.
Kuna mdau ameniahidi vitabu vyote vya Bwana MSA (Siri ya Sifuri, Kisima cha Giningi, Kosa la Bwana Msa na Duniani Kuna Watu) pamoja na kazi zote za Kezilahabi. Nikizipata nitakuwekea mkuu.
Naamini na wewe unavyo baadhi huko. Tuwekee nasi hapa.....
View attachment 2233533View attachment 2233535
Ahsante sana kwa marejeo muhimu ya watoto wetu shuleniNitakuwa naweka hapa vitabu vinavyotumiwa katika mataifa mbalimbali kuanzia elimu ya sekondari mpaka Chuo Kikuu. Jisikieni huru pia kuweka vitabu vyo vyote vile vinavyotumika mashuleni na vyuoni kutoka mahali po pote duniani
Naanza na kitabu hiki chenye fomyula muhimu 1,300 za somo la Hisabati
[emoji3591][emoji3591][emoji3591]
Mods please msiunganishe uzi huu na nyuzi zingine za vitabu.
Uzi huu ni maalum kwa ajili ya vitabu vya shuleni na vyuoni tu [emoji1545][emoji1545][emoji1545]