Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

Naomba msaada wa vitabu hivyi vya kiswahili kidato cha tatu na nne
TAMTHILIYA
1. Orodha
2. Kilio chetu
3. Ngoswe penzi kitovu cha uzembe

RIWAYA
1. Joka la mdimu
2. Watoto wa mama ntilie
3. Takadini

USHAIRI
1. Wasakatonge
2. Malenga wapya
3. Cheka Cheka

NIKIPATA HATA BAADHI HASA TAMTHILIYA NITASHUKURU
 
Naomba msaada wa vitabu hivyi vya kiswahili kidato cha tatu na nne
TAMTHILIYA
1. Orodha
2. Kilio chetu
3. Ngoswe penzi kitovu cha uzembe

RIWAYA
1. Joka la mdimu
2. Watoto wa mama ntilie
3. Takadini

USHAIRI
1. Wasakatonge
2. Malenga wapya
3. Cheka Cheka

NIKIPATA HATA BAADHI HASA TAMTHILIYA NITASHUKURU
 
Naomba kitabu cha pharmacognosy cha trease and evans
 
Kiukweli sijui lolote kuhusiana na Law ila nilitamani nijifunE hiki kitu. Through books hivyo sijui nianzie wapi niishie wapi
Naomba unipe muda nikuandalie baadhi ya vitu muhimu vya kujua... Pamoja na vitabu rahisi kwako..... Nitashare hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…