Wanafunzi wa vyuo vikuu Marekani wakaribishwa kusoma Iran na Yemen kama watafukuzwa kwa kuandamana

Wanafunzi wa vyuo vikuu Marekani wakaribishwa kusoma Iran na Yemen kama watafukuzwa kwa kuandamana

Kwa kumtaja Khadija Kopa na kutumia neno "shostito" umeshaonyesha ni mtu wa aina gani. Anyway, Katika vitu vyoote ulivyotaja ni kitu gani nchi za magharibi hazitengenezi?
Hakuna kitu wamagharibi hawatengenezi,vyote wanatengeneza tena kwa ubora zaidi.
Ila mie nimezungumzia upande wa Iran nini anaweza kufanya.
 
sasa mtu atoke Havard ama Columbia university akasome Yemen? atakuwa amepoteza pakubwa!
Huwa mnachekesha sana. Nyie hamna tofauti na wale washamba eti mtu aliyesoma UDSM na mwingine let say Mzumbe kozi moja yule wa UDSM anajiona amesoma chuo kikubwa zaidi ya mwenzake.

Wakati masomo ni yale yale na coursework ni zile zile as per TCU guidelines na kote lecturers ni wakuda.

Hakuna tofauti mtu aliyesoma Harvard na mwingine Tehran University as long as kozi ni ile ile.

Ondoa hizi nonsense mindsets mkuu.
 
Taja mwanafunzi mmoja toka Yemen au Iran aliyefanya kitu kikaleta impact duniani.
Unadhani hizo Hypersonic Missiles wanatengeneza wazungu pale Iran?

Nchi ya Iran ina wataalalmu wa sayansi iliyo juu kabisa ulimwenguni kuliko hata mabwana zako wazungu unaowaabudu.
 
Unadhani hizo Hypersonic Missiles wanatengeneza wazungu pale Iran?

Nchi ya Iran ina wataalalmu wa sayansi iliyo juu kabisa ulimwenguni kuliko hata mabwana zako wazungu unaowaabudu.
Iran sio wapuuzi na wazembe katika elimu kama ilivyo Saudia
 
Unadhani hizo Hypersonic Missiles wanatengeneza wazungu pale Iran?

Nchi ya Iran ina wataalalmu wa sayansi iliyo juu kabisa ulimwenguni kuliko hata mabwana zako wazungu unaowaa

Unadhani hizo Hypersonic Missiles wanatengeneza wazungu pale Iran?

Nchi ya Iran ina wataalalmu wa sayansi iliyo juu kabisa ulimwenguni kuliko hata mabwana zako wazungu unaowaabudu.
Lete ushahidi kwamba Iran wana hizo "hypersonic missiles" na zilitumika wapi. Acha stori za vijiweni.
 
Huwa mnachekesha sana. Nyie hamna tofauti na wale washamba eti mtu aliyesoma UDSM na mwingine let say Mzumbe kozi moja yule wa UDSM anajiona amesoma chuo kikubwa zaidi ya mwenzake.

Wakati masomo ni yale yale na coursework ni zile zile as per TCU guidelines na kote lecturers ni wakuda.

Hakuna tofauti mtu aliyesoma Harvard na mwingine Tehran University as long as kozi ni ile ile.

Ondoa hizi nonsense mindsets mkuu.
Yanaongeleea mazingira, sio masomo, uwe unaelewa. Wanaosoma Iran watakuwa na uhuru wa "self expression" kama wanaopata huko waliko sasa? Iran itavumilia wakiandamana kupinga Serikali ya Ayatollas?
 
Lete ushahidi kwamba Iran wana hizo "hypersonic missiles" na zilitumika wapi. Acha stori za vijiweni.
Screenshot_2024-05-08-16-08-36-76_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Yanaongeleea mazingira, sio masomo, uwe unaelewa. Wanaosoma Iran watakuwa na uhuru wa "self expression" kama wanaopata huko waliko sasa? Iran itavumilia wakiandamana kupinga Serikali ya Ayatollas?
Kwanini waandamane!?
Wao wanafunzi mambo ya sovereignty ya taifa la kigeni yanawahusu nini!?
Maana hao walioandamana USA ni kwasababu USA inaifadhili Israel ndiomaana wameandamana.
 
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth kutoa nafasi kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kama watafukuzwa kwa kutekeleza wajibu wao wa kidemokrasia.

Maamuzi hayo yamekuja wakati polisi nchini Marekani wakiendelea kuwakamata wanafunzi hao na kutishia kuwafungulia mashtaka huku vyuo wanavyosoma navyo vikitishia kuwafukuza kutoka vyuo hivyo.
Shetani hajawahi kuwa Mbadala hata siku moja
 
Wao wangesema wakifukuzwa vyuo Yemen Na Iran itawalipia popote watakapopata vyuo, nje au ndani ya Marekani. Ila kusema waende Iran na Yemen naona kama haijakaa poa.

Wanaweza wekeza mizengwe kama wahaini au wakanyimwa visa, au wakawa treated kama wakimbizi huko kwao Marekani. Ni wazo tuu
 
Vuguvugu linaloendelea nchini Marekani kwa wanafunzi wa vyuo vikuu kuandamana kuhusiana na vita vya Israel na Palestina limeingia hatua nyengine baada ya viongozi wa Iran na Yemen chini ya Houth kutoa nafasi kwa wanafunzi wa vyuo hivyo kama watafukuzwa kwa kutekeleza wajibu wao wa kidemokrasia.

Maamuzi hayo yamekuja wakati polisi nchini Marekani wakiendelea kuwakamata wanafunzi hao na kutishia kuwafungulia mashtaka huku vyuo wanavyosoma navyo vikitishia kuwafukuza kutoka vyuo hivyo.
Sasa Yemen ukasomee nini?labda jihadi
 
Unaijua Yemeni English medium iliyopo taifa!?
Kuna walimu wayemeni pale,uliwahi kufundishwa na mwalimu mwenye asili ya Yemeni!?
HAKUNA MWALIMU HAPA AFRIKA ANAMFIKIA MWALIMU ASILI YA YEMENI KWA UFUNDISHAJI.
Shida yenu hamuna exposure mnakaririshwa tu vitu kichwani.
Kuweni na exposure.
Kama Yemeni isingekua na vita ingekua na wasomi bora sana.
Yemeni ina uwezo wa kuunda vitu vingi ambavyo TANZANIA yako haina uwezo wa kuunda.
Iran ndio usiiguse kabisa,Iran ina teknolojia toka enzi na enzi,hizo surgical blades unazochaniwa nazo hospitali pamoja na biceps kagundua Iran.

KUWENI NA EXPOSURE.
Yemen wameunda nini?
 
Unyama upo USA na western nations au nikukumbushe unyama uliopo huko!?
Sema tukukumbushe.
-Usisahau USA ni miongoni mwa mataifa yanayoongoza kwa mauaji ya askari kwa watu weusi.
-Usisahau USA iliwahi kufanya mauaji ya kimbali ya watu weusi.
-Usisahau USA bado kuna neo-slavery na ili kulituliza hilo wameamua kwa wale watakaofanyiwa neo-slavery watalipwa fidia na kupewa green card.
-Usisahau USA bado kuna ubaguzi wa rangi ambao mwingi hauripotiwi.
-Usisahau USA ni miongoni mwa mataifa yenye domestic na sexual violence tena hapo kwenye sexual violence hadi watu mashuhuri huhusishwa.

Unataka kutuambia nini wewe!?
Hii dunia yenyewe imechafuliwa na USA kwa kufadhili mapinduzi katika serikali za watu kisa kulinda maslahi yake kwa hayo mataifa.
Sisi sio watoto aisee tunaijua hii dunia iendavyo.
Hivi wale waarabu wanaotumikusha wafanyakazi wa ndani Hadi tunaona mitandaoni ni nchi Gani vile?
 
Back
Top Bottom