Pre GE2025 Wanafunzi wa vyuo wamchangia Rais Samia na Rais Mwinyi fedha ya fomu

Pre GE2025 Wanafunzi wa vyuo wamchangia Rais Samia na Rais Mwinyi fedha ya fomu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ila wanachuo kweli amewafanyia vyema,

Japo mchakato wa kupata mikopo umekuwa na mlolongo kidogo

Ameshirikiana na China kugawa scholarships kama njugu

Kuna kozi za diploma zinapata mkopo
 
Ila wanachuo kweli amewafanyia vyema,

Japo mchakato wa kupata mikopo umekuwa na mlolongo kidogo

Ameshirikiana na China kugawa scholarships kama njugu

Kuna kozi za diploma zinapata mkopo

Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Rais Samia mitano tena
Rsis Mwinyi mitano tena
 
Wasomi wapumbavu sana.
Utakuta wote ni watoto wa kimasikini. Daah.
Wasomi uchwara kuna wasomi gani hapo wasaka kiki wakimaliza chuo waanze kuchekesha tiktok na insta huko ukiuliza nini content creator umesomea nini content creator?
 
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni

Rais Samia mitano tena
Rsis Mwinyi mitano tena
Wewe una hela kuwazidi hao hadi uwachangie ina maana unawadharau kwamba wao hawana uwezo wa kujilipia formu?
 
Acheni ufala nyie madogo wa Chuo alafu kesho na keshokutwa umuanze kusema Mmeshinda "Pasi ndefu"

Yani hapo unakuta hata kupata tu RB mara mbili kwa siku ni ngumu

Mboga za Kila siku za wanachuo ni ugali na madini chuma(dagaa) ya buku
 
Acheni ufala nyie madogo wa Chuo alafu kesho na keshokutwa umuanze kusema Mmeshinda "Pasi ndefu"

Yani hapo unakuta hata kupata tu RB mara mbili kwa siku ni ngumu

Mboga za Kila siku za wanachuo ni ugali na madini chuma(dagaa) ya buku
Imepangwa hii kesho subiria ya Wajumbe wa Nyumba 10 nao wanachanga za kwao it's all planned
 
Wakuu,

View attachment 3215090

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamefanya harambee ya kuwachangia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani pamoja na Rais wa zanziba Dkt.Hussein Mwinyi Fedha za kuchukua fomu ya ugombea Urais 2025 ikiwa ni katika hatua za kuwaonga mkono kutokana na kazi nzuri walizozifanya tangu kuingia madarajani.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongozwa na rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Zaynab Kitima kupitia kikao cha seneti kilichofanyika jijini Mbeya wanafunzi hao wamesema moja kati ya sababu zilizowafanya kumuunga mkono Dkt Samia ni pamoja na mazingira bora aliyoyaweka kwa wanafunzi ikiwemo bajeti ya fedha ya mikopo kuongezeka zaidi sambamba na wanafunzi wa vyuo vya kati kupata mikopo ya elimu ya juu.

Katika harambee hiyo wanafunzi hao wamefanikiwa kukusanya shilingi milioni moja ambayo wamesema wataikabidhi kwa mkuu wa mkoa wa mbeya Juma homera ili aweze kuzikabidhi kwa Rais Dkt Samia.
Walitakiwa wachangie za ujenzi wa VYOO MASHULENI 😅😅

Album ya kuchangaia fomu imebuma 🤣😅🤣😅🤣😅
 
Wakuu,

View attachment 3215090

Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamefanya harambee ya kuwachangia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani pamoja na Rais wa zanziba Dkt.Hussein Mwinyi Fedha za kuchukua fomu ya ugombea Urais 2025 ikiwa ni katika hatua za kuwaonga mkono kutokana na kazi nzuri walizozifanya tangu kuingia madarajani.

Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Wakiongozwa na rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Zaynab Kitima kupitia kikao cha seneti kilichofanyika jijini Mbeya wanafunzi hao wamesema moja kati ya sababu zilizowafanya kumuunga mkono Dkt Samia ni pamoja na mazingira bora aliyoyaweka kwa wanafunzi ikiwemo bajeti ya fedha ya mikopo kuongezeka zaidi sambamba na wanafunzi wa vyuo vya kati kupata mikopo ya elimu ya juu.

Katika harambee hiyo wanafunzi hao wamefanikiwa kukusanya shilingi milioni moja ambayo wamesema wataikabidhi kwa mkuu wa mkoa wa mbeya Juma homera ili aweze kuzikabidhi kwa Rais Dkt Samia.

Kwani fomu ni bei gani?? Maana hadi sasa ni zaidi ya 40m au upigaji tuuu
 
Haijalishi, hao wanafunzi ni wanachama wa ccm, the rest watakuwa hawana chama na ni wapiga kura ya mabadiliko
 
Back
Top Bottom