mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
Takataka zinazo tumika na CCM hizo, ngoja zirudi huku mtaani ndio zitajua
Ila wanachuo kweli amewafanyia vyema,
Japo mchakato wa kupata mikopo umekuwa na mlolongo kidogo
Ameshirikiana na China kugawa scholarships kama njugu
Kuna kozi za diploma zinapata mkopo
Wasomi uchwara kuna wasomi gani hapo wasaka kiki wakimaliza chuo waanze kuchekesha tiktok na insta huko ukiuliza nini content creator umesomea nini content creator?Wasomi wapumbavu sana.
Utakuta wote ni watoto wa kimasikini. Daah.
Wewe una hela kuwazidi hao hadi uwachangie ina maana unawadharau kwamba wao hawana uwezo wa kujilipia formu?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni
Rais Samia mitano tena
Rsis Mwinyi mitano tena
Imepangwa hii kesho subiria ya Wajumbe wa Nyumba 10 nao wanachanga za kwao it's all plannedAcheni ufala nyie madogo wa Chuo alafu kesho na keshokutwa umuanze kusema Mmeshinda "Pasi ndefu"
Yani hapo unakuta hata kupata tu RB mara mbili kwa siku ni ngumu
Mboga za Kila siku za wanachuo ni ugali na madini chuma(dagaa) ya buku
Wanatumiwa kama kondomu na miamvuli haja zikiisha wanawekwa KandoImepangwa hii kesho subiria ya Wajumbe wa Nyumba 10 nao wanachanga za kwao it's all planned
Malaya wa one night standWanatumiwa kama kondomu na miamvuli haja zikiisha wanawekwa Kando
Hii ndio Inji Sasa.Kwahy wamepitishwa kugombea bila kuchukua fomu? Hii nchi ni ya ki$3nge sana
Walitakiwa wachangie za ujenzi wa VYOO MASHULENI π πWakuu,
View attachment 3215090
Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamefanya harambee ya kuwachangia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani pamoja na Rais wa zanziba Dkt.Hussein Mwinyi Fedha za kuchukua fomu ya ugombea Urais 2025 ikiwa ni katika hatua za kuwaonga mkono kutokana na kazi nzuri walizozifanya tangu kuingia madarajani.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongozwa na rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Zaynab Kitima kupitia kikao cha seneti kilichofanyika jijini Mbeya wanafunzi hao wamesema moja kati ya sababu zilizowafanya kumuunga mkono Dkt Samia ni pamoja na mazingira bora aliyoyaweka kwa wanafunzi ikiwemo bajeti ya fedha ya mikopo kuongezeka zaidi sambamba na wanafunzi wa vyuo vya kati kupata mikopo ya elimu ya juu.
Katika harambee hiyo wanafunzi hao wamefanikiwa kukusanya shilingi milioni moja ambayo wamesema wataikabidhi kwa mkuu wa mkoa wa mbeya Juma homera ili aweze kuzikabidhi kwa Rais Dkt Samia.
Wewe una hela kuwazidi hao hadi uwachangie ina maana unawadharau kwamba wao hawana uwezo wa kujilipia formu?
Wewe ni umenizidi yaan -1 - 1 = ?Uwezo wako wa kufikiri ni -
Wakuu,
View attachment 3215090
Wanafunzi wa vyuo vikuu nchini wamefanya harambee ya kuwachangia Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Samia Suluhu Hassani pamoja na Rais wa zanziba Dkt.Hussein Mwinyi Fedha za kuchukua fomu ya ugombea Urais 2025 ikiwa ni katika hatua za kuwaonga mkono kutokana na kazi nzuri walizozifanya tangu kuingia madarajani.
Kwa vimbwanga na vituko vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ruka hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
Wakiongozwa na rais wa Jumuiya ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini Zaynab Kitima kupitia kikao cha seneti kilichofanyika jijini Mbeya wanafunzi hao wamesema moja kati ya sababu zilizowafanya kumuunga mkono Dkt Samia ni pamoja na mazingira bora aliyoyaweka kwa wanafunzi ikiwemo bajeti ya fedha ya mikopo kuongezeka zaidi sambamba na wanafunzi wa vyuo vya kati kupata mikopo ya elimu ya juu.
Katika harambee hiyo wanafunzi hao wamefanikiwa kukusanya shilingi milioni moja ambayo wamesema wataikabidhi kwa mkuu wa mkoa wa mbeya Juma homera ili aweze kuzikabidhi kwa Rais Dkt Samia.