Wanafunzi wachoma moto pikipiki ya mwalimu, wafyeka shamba kisa adhabu ya kukutwa na simu shuleni

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] walimu wengine wanoko na wakuda sana acha wapigwe tyuuh.
 
Kuna unoko gani sasa hapo...

Sheria za shule haziruhusu kumiliki simu huyo mwanafunzi anatumia Ili iweje,[emoji1692][emoji1545]
Ana miliki simu ili kuwasiliana na wazaz, ndugu jamaa na marafiki na matumizi mengine ya ziada ya cm.

Ukweli walimu wengi ni wanoko na wakuda sana, japo sitetei kisasi cha wanafunzi dhidi yao.
 
Umemaliza kila kitu, nakazia hapa.
 
Hakuna shida hapa sio Thailand, Ila nakushauri Kama una kabinti kanunulie simu Safi sana.

Tusaidie mawasiliano
 
Bora mwalimu hajachomwa kazi iendelee...[emoji852]
 
Walimu huwa wanaviherehere sana,

Hiz nguvu za kupambana na wanafunz huwa mnazipata wap wakat mishahara midogo,marupurupu hakuna,madaraja hampandi

Pambaneni na maisha yenu,

Dunia ya sasa sio ya kukomalia mtu asiwe na simu

Ningewaelewa kama mngesema mwanafunz asiingie nayo kwenye chumba cha mtihani

Pambaneni na maisha yenu
 
Hakuna shida hapa sio Thailand, Ila nakushauri Kama una kabinti kanunulie simu Safi sana.

Tusaidie mawasiliano
Kwamba nisipomnunulia Simu Ndio wahuni hawatamla bindi yangu
(in Safina wa kashkash group voices ITV)
😁😁😁😁🔥
 
Kuna kuliwa na kumrahisishia mtoto kuliwa. Nadhani umeelewa.

Kuliwa ataliwa tu Ila kwanza asome
 
Kwamba nisipomnunulia Simu Ndio wahuni hawatamla bindi yangu
(in Safina wa kashkash group voices ITV)
😁😁😁😁🔥
Kwanza una mtoto kweli? Maana kuliwa ataliwa tu Ila sio at early ages ni vema akasoma kwanza umzuie asiwahi mambo ambayo utajikuta ada unayolipa umeitupa bure.
 
Sasa ujaribu tena tukupe dudu ya makalio. Katongoze wakubwa wenzio sio mnadanganya watoto wasio na akili ya ukomavu
 

Hao wanafunzi wameandaliwa kumiliki hizo simu kwa ajili ya hayo matumizi ya kiteknolojia kama ilivyo kwenye hizo nchi ulizotaja?

Maana mara nyingi watoto wetu hutumia hizo simu kwa ajili ya kuwasiliana tu na wanafunzi wa jinsia nyingine wa shule jirani.
Na mwisho wa siku hutafuta wasaa wao kwa siri, ili kukidhi mahitaji yao ya kimwili. Na hivyo visimu utakuta ni vile vidogo vidogo, vilivyo choka na vya bei nafuu.
 
Kwanza una mtoto kweli? Maana kuliwa ataliwa tu Ila sio at early ages ni vema akasoma kwanza umzuie asiwahi mambo ambayo utajikuta ada unayolipa umeitupa bure.
ila kusema ukweli Hawa mabindi zetu Hawa duu mtihani sana ukiwa kama baba wa bindi nakuonea huruma sana Mkuu
Yaani watoto ni wasumbufu mno na wanaweza kukutia aibu kubwa

Yaani vitoto vidogo vina mambo makubwa sana Kuna muda kama mzazi ukikaa na kutafakari unabaki kusema Hiiiiii bha ghosha naua Hii jinga ila Ndio Hivyo Inakupasa uwe mtu wa busara sana!

Majaribu kuvaa viatu vyako inaumiza sana!
 
Kwahiyo Mzee baba unapendekeza Nini kifanyike maana unadai Ili wanafunzi wamiliki smart phone inabidi waandaliwe kwani inachukua miaka mingapi kuwaandaa vijana kama walivyofanya wao?

Tatizo la nchi Hii watu hawana ubunifu Wala uthubutu Ina wasomi na viongozi wa hovyo sana!
 
Mwenge Secondary kuna O Level? Huyo mwanafunzi aliyeadhibiwa n wa kidato cha 6.

Ila walimu wengine waache unoko na ukuda, japo sitetei kitendo kilichofanywa na wanafunzi hao. Msieeew
Hata mm nimeshangaa o level ilifutika kitambo sana, mm namalizia form six 2007, ndio ilikuwa inafutika o level
 
Sasa ujaribu tena tukupe dudu ya makalio. Katongoze wakubwa wenzio sio mnadanganya watoto wasio na akili ya ukomavu
hahahahaha huyo kijana wa hovyo inaonekana ulimfanya kitu kibaya sana anyway
Hakuna kitu sipendi kama vijana wajinga wajinga kuwarubuni wanafunzi hasa mabinti hua najaribu kuvaa viatu kama mzazi hua naumia sana
Mara nyingi hua natoa ushauri Kwa baadhi ya vibinti mcharuko hapa kitaa ya Kwamba Hawa wajinga wajinga hawana Nia nzuri na nyie ila Sasa ni vibishi sana na vina mambo makubwa balaa!
 
Hivi kuna tatizo gani mwanafunzi kumiliki na kuwa na simu shuleni..?
Kuna vibylaws inapaswa vifanyiwe marekebisho ili kuepuka conflicts kama hizi
 
Yaani akili za balehe bwana, mwaka Fulani watoto wa o- level walichoma office ya academic vyeti vyoote vikaungua nikaanza kuhangaika kutafuta cheti mbadala Cha form six necta dah.
 
Ukweli mchungu huu walimu hawataki kuusikia, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…