Iwe kumrahisishia au kuto, ila ni ile ile kuwa analiwa, na analiwa kweri kweri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna kuliwa na kumrahisishia mtoto kuliwa. Nadhani umeelewa.
Kuliwa ataliwa tu Ila kwanza asome
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaah wee.Sasa ujaribu tena tukupe dudu ya makalio. Katongoze wakubwa wenzio sio mnadanganya watoto wasio na akili ya ukomavu
Jf ya leo. Mada na comment yako havihusiani.Jamani jamani, tubuni na mkamilishe bwawa la Nyerere kama redemption
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikosea kuandika tyuuh.Hata mm nimeshangaa o level ilifutika kitambo sana, mm namalizia form six 2007, ndio ilikuwa inafutika o level
Ubaya wake sasa wanafunzi wenyewe wanamiliki simu km kawaida yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi kuna tatizo gani mwanafunzi kumiliki na kuwa na simu shuleni..?
Kuna vibylaws inapaswa vifanyiwe marekebisho ili kuepuka conflicts kama hizi
Duuuh poleeeeh sana lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani akili za balehe bwana, mwaka Fulani watoto wa o- level walichoma office ya academic vyeti vyoote vikaungua nikaanza kuhangaika kutafuta cheti mbadala Cha form six necta dah.
Unajua ishu sio yeye kufanya hayo, tatizo anadanganywa na watu ambao hawatamuoa sababu unakuta mtoto ana miaka 15 jamaa yake 30 wamepishana umri wa kumzaa na bado yeye ansoma akili pia ya kitoto.ila kusema ukweli Hawa mabindi zetu Hawa duu mtihani sana ukiwa kama baba wa bindi nakuonea huruma sana Mkuu
Yaani watoto ni wasumbufu mno na wanaweza kukutia aibu kubwa
Yaani vitoto vidogo vina mambo makubwa sana Kuna muda kama mzazi ukikaa na kutafakari unabaki kusema Hiiiiii bha ghosha naua Hii jinga ila Ndio Hivyo Inakupasa uwe mtu wa busara sana!
Majaribu kuvaa viatu vyako inaumiza sana!
Mwaga mboga nami nimwage ugaliMlisharuhusu wanafunzi kuvuta bangi,vumilieni tu
Ina maana mabweni ya UMOJA na UJAMAA ilikokuwa kambi ya madem siku hizi kote ni madume?Hata mm nimeshangaa o level ilifutika kitambo sana, mm namalizia form six 2007, ndio ilikuwa inafutika o level
Hata mie nashangaa hapa lol.Simu zina shida gani? Wawekewe tu utaratibu wa kutumia, dunia ishabadilika.
Sisi A level hakukuwa na hayo makatazo ya simu na bado tulifaulu vizuri tu.
Ukiwaangalja Hawa mabinti wanayofanya mambo unaona kabisa yamewazidi umri Ila wao wanafanya Kama fashion na tamaa bila kujua umri wao haujafika.hahahahaha huyo kijana wa hovyo inaonekana ulimfanya kitu kibaya sana anyway
Hakuna kitu sipendi kama vijana wajinga wajinga kuwarubuni wanafunzi hasa mabinti hua najaribu kuvaa viatu kama mzazi hua naumia sana
Mara nyingi hua natoa ushauri Kwa baadhi ya vibinti mcharuko hapa kitaa ya Kwamba Hawa wajinga wajinga hawana Nia nzuri na nyie ila Sasa ni vibishi sana na vina mambo makubwa balaa!
Sheria za kipumbavu tu watu wapo smart world nyie mnaendelea kushikilia masheria ya kikoloni zama hizi wanafunzi wa secondary waruhusiwe kumiliki smart phone ziwasaidiek masomo Yao nchi nyingi tu hasa za Asia mfano Philippine,Hongkong,Thailand watoto wa sekondary kumiliki Simu ni kitu Cha kawaida tu Tena Zina msaada mkubwa sana huko ndiko kinakotoka kizazi Cha smart world wanajua Kila kitu wale sisi huku kijana wa Miaka 17 hajui hata kuwasha computer Wala hajui google ni Nini
Halafu ndio utegemee mageuzi ya kisasa Kwa Jamii kalagha bhaho
Tutaendeshwa na wachina na wahindi mpaka kiama!
Fukuza shule hao vibaka wakachimbe migodi..Jeshi la Polisi Mkoa wa Singida linawashikilia wanafunzi sita wa Shule ya Sekondari Mwenge iliyopo Kata ya Majengo Wilaya ya Singida kwa tuhuma za kuchoma moto pikipiki ya mwalimu yenye namba za usajili MC 653 BFS pamoja na kufyeka mahindi yaliyooteshwa katika shamba la mwalimu huyo lenye ukubwa wa ekari moja.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, ACP Stella Mutabihirwa amezungumza mbele ya waandishi wa habari na kusema tukio hilo limetokea baada ya kuadhibiwa kwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne kwa kosa la kumiliki simu kinyume na taratibu za shule hiyo.
“Taratibu za shule hiyo haziruhusu mwanafunzi kuwa na simu, wakati upekuzi wa walimu unaendelea kuna mwanafunzi mmoja alitoka kwenda kuficha simu darasani, ndipo mwalimu baada ya kugundua akamuadhibu huyo mwanafunzi.
“Jioni yake wanafunzi hao wakajipanga na kwenda kuchoma pikipiki na shamba, Jeshi la Polisi limefika eneo la tukio na kujiridhisha juu ya pikipiki hiyo kuchomwa na shamba kufyekwa. Hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yao kwa kusababisha uhaibifu,” anasema ACP Stella Mutabihirwa.
Source: Wazo Huru TV