Wanafunzi wachoma moto pikipiki ya mwalimu, wafyeka shamba kisa adhabu ya kukutwa na simu shuleni

Kuna kuliwa na kumrahisishia mtoto kuliwa. Nadhani umeelewa.

Kuliwa ataliwa tu Ila kwanza asome
Iwe kumrahisishia au kuto, ila ni ile ile kuwa analiwa, na analiwa kweri kweri [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hata mm nimeshangaa o level ilifutika kitambo sana, mm namalizia form six 2007, ndio ilikuwa inafutika o level
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikosea kuandika tyuuh.
 
Hivi kuna tatizo gani mwanafunzi kumiliki na kuwa na simu shuleni..?
Kuna vibylaws inapaswa vifanyiwe marekebisho ili kuepuka conflicts kama hizi
Ubaya wake sasa wanafunzi wenyewe wanamiliki simu km kawaida yaan. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani akili za balehe bwana, mwaka Fulani watoto wa o- level walichoma office ya academic vyeti vyoote vikaungua nikaanza kuhangaika kutafuta cheti mbadala Cha form six necta dah.
Duuuh poleeeeh sana lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Unajua ishu sio yeye kufanya hayo, tatizo anadanganywa na watu ambao hawatamuoa sababu unakuta mtoto ana miaka 15 jamaa yake 30 wamepishana umri wa kumzaa na bado yeye ansoma akili pia ya kitoto.

Anadanganyika kwa vitu ambavyo akikua atavipata tu Sasa anaharibiwa future, unajua ishu sio kuzaa Ila lazima uwe na maisha yenye mpangilio utazaazaa na kila mwanaume tu unajemga familia gani?

Halafu akipata ujauzito hapo future inakuwa basi Tena kwa asilimia kubwa hujikuta wanabeba majukumu ambayo hawana huo ulazima wa kubeba Kama angetulia mpaka muda wake ukifika.

Pia kuna magonjwa na mambo mengi madawa ya kulevya mtu mzima anaweza kuwa anamtilia ili alewe ili jamaa afanye yake anayitaka.

It's dangerous ndio maana tunamlinda mtoto wa kike nothing much kuliwa ataliwa tu lakini heri aliwe huku ulimlinda ili akose wa kumlaumu kuliko usipochukua hatua za kumlinda.
 
Bongo nakumbuka ishatokeaga kesi kama hii wanafunzi walihukumiwa Miaka kibao ikaletaga utata sanaa
 
Simu zina shida gani? Wawekewe tu utaratibu wa kutumia, dunia ishabadilika.

Sisi A level hakukuwa na hayo makatazo ya simu na bado tulifaulu vizuri tu.
 
Hata mm nimeshangaa o level ilifutika kitambo sana, mm namalizia form six 2007, ndio ilikuwa inafutika o level
Ina maana mabweni ya UMOJA na UJAMAA ilikokuwa kambi ya madem siku hizi kote ni madume?
 
Mambo ya kizamani sana hayoo..

🌿🌿🌿 Tu
 
Simu zina shida gani? Wawekewe tu utaratibu wa kutumia, dunia ishabadilika.

Sisi A level hakukuwa na hayo makatazo ya simu na bado tulifaulu vizuri tu.
Hata mie nashangaa hapa lol.
 
Hao vijana kweli waasi yani wamelifyeka shamba la heka moja kwa usiku mmoja
 
Ukiwaangalja Hawa mabinti wanayofanya mambo unaona kabisa yamewazidi umri Ila wao wanafanya Kama fashion na tamaa bila kujua umri wao haujafika.

Na wanaume wengi hutumia huo mwanya kuwarubuni na kuwagonga kilaini, unajua binti wa sekondari Hana gharama hata Hawa wa chuo.

Mtoto wa sekondari ukimla unampa 20 umemaliza , anakula chips anakunywa Redd's mbili au tatu unamgonga gesti bubu za 15 hajui mambo ya gesti yeye.

Ukitoka unampa 15 na bodaboda unamlipia umemaliza kazi. Hapo ndio wanapopagawa.

Akiomba hela nyingi sana 50. Kumbe hajui . Ndio maana tunaona mtoto akiwa na simu unamrahisishia kuliwa aisee.
 
Mnatetea ujinga na upumbavu
Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
Fukuza shule hao vibaka wakachimbe migodi..

Shule za siku hizi ni nonsense huwa zinalegeza na kudekeza watoto hao wajinga mwishowe mnafuga majambazi.
 
Jino Kwa jino...

Hao baadae wanakua magaidi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…