Msela Baharia
JF-Expert Member
- Jun 12, 2016
- 766
- 1,104
Chawa mwingine huyuTatizo ni hao wazazi wanaotukana waalimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chawa mwingine huyuTatizo ni hao wazazi wanaotukana waalimu.
Nikafanye nini huko!? Mimi niko Dar, Mwanza na Geita ndio sehemu zangu za kujidai mkuu.Ushawahi kufika Izinga?
Kwani mimi unanisaidia nini wewe katika maisha yangu!!?Mbona wewe umetukana tunakuangalia tu.
DED anayumbisha kiswahili....anadhani kufukuza ni kwa kutamka toka,imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
Acha uchochezi wa kijinga Mpumbavu wewe hivi kuwa na itikadi tofauti ndio uipeleke mpaka kwa watoto. Acheni huo ujinga na ushamba aiseeTatizo ni hao wazazi wanaotukana waalimu.
Kwani mimi nimesema wamefanya vizuri? Narudia tena hao wazazi walitakiwa kutumia busara siyo walivyofanya wakiendelea hivyo itawa cost sana katika maisha yao. Hata wakija kwenye biashara yqngu wakaleta ujinga kama huo siwezi kuwahudumia for sure.Umeshaambiwa utaratibu umekiukwa yani wamevunja sheria ni wahalifu tu ila wewe unazidi kuwatetea , ndio maana nikasema uchawa ni kitu kibaya sana kwenye taifa.
Mpumbavu ni mzazi wako waliyekuzaa.Acha uchochezi wa kijinga Mpumbavu wewe hivi kuwa na itikadi tofauti ndio uipeleke mpaka kwa watoto. Acheni huo ujinga na ushamba aisee
Una uhakika hao wazazi walimtukana Mwalimu ? Sasa kama walimtukana Mwalimu kwanini wanafunzi wafukuzwe shuleni? Hebu kuwa na akili timamu basiMpumbavu ni mzazi wako waliyekuzaa.
Hapo ni nani hana busara kati ya hao walimu na wazazi?.Makosa ya wazazi tangu lini yakatakiwa kuathiri masomo ya watoto wadogo kama hao.Au wewe akili zako zimeshikiliwa mahali ndo maana unawaza kijinga hivyo.
Tulia usome vizuri comment yangu. Nimezungumzia busara. Wewe mwalimu anafundisha mtoto wako unaenda kumwambia hawezi kumfundisha mtoto wako then akikwambia utafute shule nyingine umpeleke mtoto wako unakasirika kweli!!? Hao wazazi kama yaliyoandikwa ni ya kweli then hawana busara hata chembe. Waende wakawaambie hivyo Madaktari waone kitakachowakuta.Hapo ni nani hana busara kati ya hao walimu na wazazi?.Makosa ya wazazi tangu lini yakatakiwa kuathiri masomo ya watoto wadogo kama hao.Au wewe akili zako zimeshikiliwa mahali ndo maana unawaza kijinga hivyo.
Wewe ni bwege tunajadiri yaliyoandikwa kwenye taarifa ya Mkurugenzi sasa wewe una uhakika gani wazazi hawakuwatukana wazazi wakati barua ya mkurugenzi inasema hivyo na ndio maana kuna Tume inachunguza.Una uhakika hao wazazi walimtukana Mwalimu ? Sasa kama walimtukana Mwalimu kwanini wanafunzi wafukuzwe shuleni? Hebu kuwa na akili timamu basi
Na vipi mwalimu mkuu uamuzi wake ulikuwa wa busara? Shule ya umma, mnagombana na mzazi huko kwa sababu za kisiasa unataka kumkomoa kwa kuwafukuza watoto ambao hata hawajui kipi kinaendelea.Kama kweli wazazi hao waliwatukana walimu hivyo nawashauri waendelee kutafuta shule nyingine hapo watoto wao hawatapata elimu ya uhakika. Hayo ndio matatizo ya wanachadema mara nyingi hawana busara kwenye maamuzi yao. Ni sawa uende hospitali umwambie Dr. kuwa hana uwezo wa kumtibu mtoto wako then unategemea nini?
Huyo mkuu wa shuke ni 💩 kama💩 mengne🚮....!!
Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
HeadTicha🚮....!! Kati ya watu weng mazuzu ni walimu...!!
Saa chache tangu taarifa ya kufukuzwa shule kwa wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga kwa madai ya wazazi wao kukiunga mkono Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Nkasi, Afraha Hassan amesema waliokumbwa na kadhia hiyo walikuwa tisa na tayari wamewarudisha.
Taarifa hiyo ya Mkurugenzi imetolewa leo Alhamisi Desemba 5, 2024, imesema wamebaini mwalimu mkuu aliwasimamisha shule wanafunzi hao na kuwataka wazazi watafute shule nyingine na siyo kufukuzwa shule kama ilivyoripotiwa katika mitandao mbalimbali ya kijamii.
“Uamuzi wa kuwasimamisha wanafunzi hao haukufuata utaratibu wa miongozo ya wizara. Aidha wanafunzi waliosimamishwa shule hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu,” amesema.
Akitaja hatua walizochukua Hassan amesema: “Wanafunzi wote tisa (9) waliosimamishwa shule wamerejeshwa shuleni bila masharti yoyote. Hatua za kiutawala na uongozi dhidi ya mwalimu mkuu wa shule hiyo zitachukuliwa pindi uchunguzi unaoendelea utapokamilika.”
Mapema leo asubuhi, Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda aliagiza timu ya wataalamu udhibiti ubora kwenda kuchunguza taarifa ya wanafunzi 14 wa Shule ya Msingi Izinga, iliyopo Nkasi Kusini kufukuzwa shule kwa madai ya wazazi wao kuiunga mkono Chadema kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa uliofanyika hivi karibuni.
Wewe vipi? Mtu kawaambia walimu hawawezi kumfundisha mtoto wake then akikuambia uwapeleke shule nyingine unalalamika tena!! Hivi shuleni mlienda kusomea ujinga au? Ni aawa na kumwambie Dr. hawezi kumtibu mgonjwa wako akuambie tafuta Dr. mwingine au hospitali nyingine umpeleke mgonjwa wako then uanza kulalamika tena! Huo ni ujinga uliopitiliza kiwango.Na vipi mwalimu mkuu uamuzi wake ulikuwa wa busara? Shule ya umma, mnagombana na mzazi huko kwa sababu za kisiasa unataka kumkomoa kwa kuwafukuza watoto ambao hata hawajui kipi kinaendelea.
Siasa ni kuvumiliana, haya mambo siyo ya kushabikia.
Nakumbuka enzi za jakaya, watu wanabishana wee, uchaguzi ukipita story kama vile sio wao waliokuwa wanabishana na maisha yanaendelea.
sasa ndio wamerudishwa sasa mkuu, kajitundike... na mkurugenzi kasema kwamba, hakufuata utaratibu na wanafunzi hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu, vipi na huyo mkurugenzi kasomea ujinga?Wewe vipi? Mtu kawaambia walimu hawawezi kumfundisha mtoto wake then akikuambia uwapeleke shule nyingine unalalamika tena!! Hivi shuleni mlienda kusomea ujinga au? Ni aawa na kumwambie Dr. hawezi kumtibu mgonjwa wako akuambie tafuta Dr. mwingine au hospitali nyingine umpeleke mgonjwa wako then uanza kulalamika tena! Huo ni ujinga uliopitiliza kiwango.
Ona sasa kama wewe hapa unawaita mazuzu then kesho upeleke mtoto wako wamfundishe!! Sasa zuzu wa kweli ni nani kati yako na waalimu!!?Huyo mkuu wa shuke ni 💩 kama💩 mengne🚮....!!
Eeeh Mwenyeenzi Mungu wa Mbinguni iponye nchi
HeadTicha🚮....!! Kati ya watu weng mazuzu ni walimu...!!
Nijitundike mimi!!? Mimi niko hapa Target nakula kitimoto na bia karibu mkuu tupate moja baridi.sasa ndio wamerudishwa sasa mkuu, kajitundike... na mkurugenzi kasema kwamba, hakufuata utaratibu na wanafunzi hawakuwa na kosa lolote la kinidhamu, vipi na huyo mkurugenzi kasomea ujinga?
Hizo tumemalizana nazo hapa burget, weekend tukutane rudy's farm. Hivyo ndivyo mambo yanavyopaswa kuwa. Mnabishana mpaka kutaka kupigana kwenye siasa, mkimaliza yameisha hayo mtakutana mle nyama choma na bia.Nijitundike mimi!!? Mimi niko hapa Target nakula kitimoto na bia karibu mkuu tupate moja baridi.
Wewe ni zero brain. Watu aina yako ndiyo wanaosababisha chama kionekane kina wajinga wengi.Watekwe kwa lipi wakati wazazi wenyewe ni wajinga unawezaje kumtukana mwalimu hivyo wakati anakufundishia mtoto wako!!? Busara ni zero!!
Hakuna daktari kilaz,a kama wewe. Daktari ni mtu aliyefundishwa code of conduct and ethics hata mgonjwa/mtu wa kawaida amtamkie lugha chafu hawezi ku act kama wewe unavyodhani.Tulia usome vizuri comment yangu. Nimezungumzia busara. Wewe mwalimu anafundisha mtoto wako unaenda kumwambia hawezi kumfundisha mtoto wako then akikwambia utafute shule nyingine umpeleke mtoto wako unakasirika kweli!!? Hao wazazi kama yaliyoandikwa ni ya kweli then hawana busara hata chembe. Waende wakawaambie hivyo Madaktari waone kitakachowakuta.