Wanafunzi wanauliwa na walimu kwa vipigo na wengine wanachora ramani za kutorokea USA; tazama huyu hapa anauliwa tena!

Hakuna mtu anaeadhibiwa bila kosa hizo ni adhabu za kimilia huyo binti itakuwa alikaidi mambo ya kijamii mfano kutoshiriki misiba,au alikosa heshima kwa wakubwa au umalaya nk.
Serikali haingilii adhabu za kimila
 
Serikali haishughuliki na adhabu za kimila.
Pana mwaka professor Fulani akiwa waziri wa afya jamii yake walichukua kibali ili afatwe akalambwe viboko kwa kutoshiriki mambo ya jamio yake,sema serikali iliingilia kati kwa heshima ya cheo chake.
 
Iyo haikubaliki wakamatwe na hatua kali zichukuliwe juu yao.

NB: Siku yoyote mwanangu atakaporudi shuleni na alama ya bakoro mwilini mwake ni lazima kurudi shuleni na kwenda kumzingua mwalim aliefanya icho kitendo kwa mtoto wangu.
 
Mjerumani aliijenga Tanganyika kwa viboko nchi ikawa na maendeleo,mswahili bila fimbo haendi
Sasa ndio mtu achapwe kikatili hivyo mkuu? Nina wasiwasi wewe unaweza kuwa mhalifu pia.
 
Hapana; hiyo lugha sio kijaluo mkuu. Tunaomba tusaidiane kusambaza tujue ni lugha ya mkoa gani tuwasidie polisi kuwadika wahalifu
Hio ni mahakama ya kimila we huoni viti hapo,wazee wamekaa wametoa hukumu,chini ya miaka ya 2000 vijijini adhabu hizi zilisaidia kuishape jamii
 
Hakuna mtu anaeadhibiwa bila kosa hizo ni adhabu za kimilia huyo binti itakuwa alikaidi mambo ya kijamii mfano kutoshiriki misiba,au alikosa heshima kwa wakubwa au umalaya nk.
Serikali haingilii adhabu za kimila
Mkuu sasa hiyo ni adhabu au kutweza? Usitetee wahalifu mkuu.
 
Sasa ndiyo mtu atwezwe kiasi hiki mkuu? Tafakari kauli yako kwanza
Watoto wa juzi mnaona uko ni kutwezwa.
Wakati wetu tunakua tulikuwa tunagongeshwa Mtaan na ukifika homu husemi, ukisema the same thing may befall to you.
Niliwai pokea kichapo heavy toka kwa Bi Mkubwa baada ya kwenda na Njumu mpya home.
Swali lilikuwa "umevitoa wapi?".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…