Wanafunzi watatu wafariki kwa kukosa hewa wakati wanatoa mahindi kwenye kihenge cha shule, mwalimu aliwaacha na kwenda kunywa chai

Wazazi: Wawe wanaingia walimu wenyewe!

Walimu: πŸ€”πŸ™„

Shule binafsi zimekuwa na matukio sana siku hizi mara school bus mara vihenge!
 
Poleni kwa wafiwa, najaribu kuwaza juu ya wazazi wao/wafiwa.
 
Sahihi mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…