Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wizo anazingua 😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 pole njoo tuchinge kkoo🤣🤣🤣🤣 ajira hamna wizo
we nicheke tuuu
Atakuwa ametega kwamba cycle ya waliopo ife kwanza[emoji1787]Wote wakifuata mtazamo wako,miaka 30 baadaye nani atakuwa daktari,mhandisi,mwanasheria,mwalimu n.k ?
Ili watoto wa watawaliwa waweze kupata kazi iwepo sheria ya kuwahasi viongozi wa CCM ili wasiwe na watoto wa kuwapa ajira, hii itawezesha watoto wa watawaliwa kupata kazi.Hii ni tahadhari nawapa, kwa wazazi na wanafunzi kwa ujumla.
Ewe mzazi, usipoteze mamilioni kusomesha mtoto wako kwa uchungu na kwa jasho halafu akarudi nyumbani kukaanga chips na kuendesha bajaji.
Ewe mzazi, usiuze ng'ombe zako, usiuze ardhi yako, usifilisi biashara zako kwa ajili ya kupeleka hela shuleni. Unapoteza muda na fedha nyingi, utashangazwa mwanao atarudi nyumbani na makaratasi matupu akaanze kuendesha bodaboda na kuuza mwili wake kwenye madanguro.
Ewe mwanafunzi, usipoteza muda wako wa miaka zaidi ya ishirini unahangaika kusoma kwa tabu na uchungu mkubwa, utashangazwa. Utarudi mtaani kuwa boda boda.
Ewe mwanafunzi, kama uko shule achana nayo, kimbia haraka kaanze kujihangaikia.
Ewe mwanachuo, achana na habari hizo, ondoka hapo unapoteza muda. Unapoteza fedha nyingi kwenye sifuri.
Changamka. Ubodaboda hauhitaji digrii au cheti cha form four.
Achana na hiyo shule, anza sasa hivi kujifunza bodaboda utanishukuru. Usisubiri mpaka miaka 10 ijayo ukiwa umechoka na umeshapoteza fedha nyingi kwenye hamna.
Wenye masikio na wasikie. Wazazi amkeni. Shule ni ujinga.
Elimu sio ujinga lakini kwa mitaala inayotolewa hapa nchini haimuandai kijana kujiajiri.Hii ni tahadhari nawapa, kwa wazazi na wanafunzi kwa ujumla.
Ewe mzazi, usipoteze mamilioni kusomesha mtoto wako kwa uchungu na kwa jasho halafu akarudi nyumbani kukaanga chips na kuendesha bajaji.
Ewe mzazi, usiuze ng'ombe zako, usiuze ardhi yako, usifilisi biashara zako kwa ajili ya kupeleka hela shuleni. Unapoteza muda na fedha nyingi, utashangazwa mwanao atarudi nyumbani na makaratasi matupu akaanze kuendesha bodaboda na kuuza mwili wake kwenye madanguro.
Ewe mwanafunzi, usipoteza muda wako wa miaka zaidi ya ishirini unahangaika kusoma kwa tabu na uchungu mkubwa, utashangazwa. Utarudi mtaani kuwa boda boda.
Ewe mwanafunzi, kama uko shule achana nayo, kimbia haraka kaanze kujihangaikia.
Ewe mwanachuo, achana na habari hizo, ondoka hapo unapoteza muda. Unapoteza fedha nyingi kwenye sifuri.
Changamka. Ubodaboda hauhitaji digrii au cheti cha form four.
Achana na hiyo shule, anza sasa hivi kujifunza bodaboda utanishukuru. Usisubiri mpaka miaka 10 ijayo ukiwa umechoka na umeshapoteza fedha nyingi kwenye hamna.
Wenye masikio na wasikie. Wazazi amkeni. Shule ni ujinga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukitongoza demu anakwambia Niko Chuo mwaka wa kwanza, anadhani sisi hatujafika Chuo
Yaan [emoji23][emoji23][emoji23]Wizo anazingua [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpo sahihi wote wote , mana mpaka Sasa walio ishia la saba na form 4 wametupiga gepu, sisi tunaangaika na kusambaza bahasha wenzetu wanapigwa hatua na biashara na mambo mengineWengi hawawezi kukuelewa ila ulichokiandika hapa kina ukweli. Kwa hapa tz elimu inatupotezea muda tu, haituandai kukabiliana na maisha halisi. Kwa upande wangu naona elimu ya form 4 inatosha sana.
Kama mtu atasoma vizuri, ajifunze kiingereza cha kuongea na kuandika, ujanja wa technojia. Kisha aje mtaani aanze kujifunza life skills na namna watu wanavyojipatia rizki kwa njia mbali mbali.
Hapo akiongezea na elimu yake aliyopata basi atakuwa na asilimia kubwa ya kufanikiwa kimaisha.
Bro dunia ni pana,dunia haiishii kwenye mipaka ya bongo tu, huko kwenye bodaboda na Bajaj!Hii ni tahadhari nawapa, kwa wazazi na wanafunzi kwa ujumla.
Ewe mzazi, usipoteze mamilioni kusomesha mtoto wako kwa uchungu na kwa jasho halafu akarudi nyumbani kukaanga chips na kuendesha bajaji.
Ewe mzazi, usiuze ng'ombe zako, usiuze ardhi yako, usifilisi biashara zako kwa ajili ya kupeleka hela shuleni. Unapoteza muda na fedha nyingi, utashangazwa mwanao atarudi nyumbani na makaratasi matupu akaanze kuendesha bodaboda na kuuza mwili wake kwenye madanguro.
Ewe mwanafunzi, usipoteza muda wako wa miaka zaidi ya ishirini unahangaika kusoma kwa tabu na uchungu mkubwa, utashangazwa. Utarudi mtaani kuwa boda boda.
Ewe mwanafunzi, kama uko shule achana nayo, kimbia haraka kaanze kujihangaikia.
Ewe mwanachuo, achana na habari hizo, ondoka hapo unapoteza muda. Unapoteza fedha nyingi kwenye sifuri.
Changamka. Ubodaboda hauhitaji digrii au cheti cha form four.
Achana na hiyo shule, anza sasa hivi kujifunza bodaboda utanishukuru. Usisubiri mpaka miaka 10 ijayo ukiwa umechoka na umeshapoteza fedha nyingi kwenye hamna.
Wenye masikio na wasikie. Wazazi amkeni. Shule ni ujinga.
Daktari wa nnWote wakifuata mtazamo wako,miaka 30 baadaye nani atakuwa daktari,mhandisi,mwanasheria,mwalimu n.k ?