Unatetea Rushwa tu huna uchungu na Wanyamapori wetu tuliopewa na Mungu.Ujinga na utoto.
Unatetea Rushwa tu huna uchungu na Wanyamapori wetu tuliopewa na Mungu.
Kenya Uganda Rwanda hii Biashara imepigwa marufuku.
Na kama tujuavyo Rushwa imezagaa kwenye Tanapa na Tawa mtu analipia Mnyama mmoja anaweza kutoa kidogo ili auwe hata Ishirini.
Chawa huwa hamna uchungu na Nchi.
Je lile jeshi la majangiri lililo kuwa linamilikiwa na familia ya rostam azizi na shehena ya silaha haramu nazo ni utalii wa uwindaji?Mtandaoni kuna picha na video ya muwindaji Mmarekani ambaye ana brag kuua Mamba anayesema ni mkubwa kuliko wote
Sasa watu wanaanza kutoa mapovu mtandaoni kuwa Serikali imefumbia macho ujangili kwa kuwa ni mzungu blah blah blah
Hivi kweli hawa watu hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda na watu wanalipa vibali vya bei juu kufanya huo utalii
Kuna wanyama ambao wapo hatarini kutoweka na hao huwa vibali vyake hakuna, sasa mamba sio mnyama ambaye yupo hatarini kutoweka,. Mamba wapo wengi sana na tunasikia hadi wananchi na wabunge wakilalamika baadhi ya maeneo kuwa na mamba wengi na kuua wananchi
Muulize mkojan Royo Tuwa aliifanya ya Nini kule maporini ?Yalivyo majinga yanashindwa kuelewa kwamba wanyama ni Mali Asili sawa tuu na samaki,Madini nk
Sasa huko kwingine Kwa nini hawapingi? Na walivyo na akili fupi hudhani kwamba Utalii ni hao mapunda wakati huko Egypt,Morocco,Tunisia nk hakuna hata wanyama ila ndio zinaongoza Kwa Utalii.
Utalii wa kutegemea Wanyamapori ulishapitwa na wakati ni sehemu ndogo sana ya product kwenye dhana nzima ya Utalii.
Kwani alifanya mbugani pekee?Muulize mkojan Royo Tuwa aliifanya ya Nini kule maporini ?
Ccm imefuga mapumbavu mengi sana.Utawaweza wanaharakati uchwara wa chadema?
Wanyama wanaosafirishwa na wnaouwawa na Vijiji vinavyozunguka kwa ajili ya kitoweo na wanaouwawa na Wanyama wenzao hawa Wanyama kila mwaka wanazidi kupungua na maeneo yao yanazidi kupungua mwisho wataisha!. Trust me.
Lakini haiwazidi chademaCcm imefuga mapumbavu mengi sana.
Sasa kwanini TAWA wenyewe hawasemi?Mtandaoni kuna picha na video ya muwindaji Mmarekani ambaye ana brag kuua Mamba anayesema ni mkubwa kuliko wote
Sasa watu wanaanza kutoa mapovu mtandaoni kuwa Serikali imefumbia macho ujangili kwa kuwa ni mzungu blah blah blah
Hivi kweli hawa watu hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda na watu wanalipa vibali vya bei juu kufanya huo utalii
Kuna wanyama ambao wapo hatarini kutoweka na hao huwa vibali vyake hakuna, sasa mamba sio mnyama ambaye yupo hatarini kutoweka,. Mamba wapo wengi sana na tunasikia hadi wananchi na wabunge wakilalamika baadhi ya maeneo kuwa na mamba wengi na kuua wananchi