Wanaharakati na wapinzani mbona kama washamba sana, hawajui kuwa kuna utalii wa kuwinda?

Ujinga na utoto.
Unatetea Rushwa tu huna uchungu na Wanyamapori wetu tuliopewa na Mungu.

Kenya Uganda Rwanda hii Biashara imepigwa marufuku.

Na kama tujuavyo Rushwa imezagaa kwenye Tanapa na Tawa mtu analipia Mnyama mmoja anaweza kutoa kidogo ili auwe hata Ishirini.

Chawa huwa hamna uchungu na Nchi.
 
Je lile jeshi la majangiri lililo kuwa linamilikiwa na familia ya rostam azizi na shehena ya silaha haramu nazo ni utalii wa uwindaji?
 
Muulize mkojan Royo Tuwa aliifanya ya Nini kule maporini ?
 
Wanyama wanaosafirishwa na wnaouwawa na Vijiji vinavyozunguka kwa ajili ya kitoweo na wanaouwawa na Wanyama wenzao hawa Wanyama kila mwaka wanazidi kupungua na maeneo yao yanazidi kupungua mwisho wataisha!. Trust me.


Naamini hivyo, mimi zamani nilikuwa nikitembea nawaona mabarabarani siku hizi naweza kutoka Dar hadi Ngara nisione hata Sungura.

Na hao wa Mikumi kila siku wanagongwa
 
Sasa kwanini TAWA wenyewe hawasemi?
 

Attachments

  • IMG_1189.jpeg
    99.2 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…