Uchira 1
JF-Expert Member
- Oct 9, 2017
- 5,994
- 8,696
Nlikuwa najifikiria hapa.
Mama yako anajiuza pale Tandika,mama yako mdogo anajiuza pale mwananyamala
Dada yako anajiuza kimboka. Rafiki yako anajiuza pale river side
Baba yako anapakuliwa Zanzibar mdogo wako wa kiume ni shoga Sinza na classmate wako nae ni shoga yupo hapo kinondoni
Mtoto wako ulomzaa saiv ana niaka 14 tayari ameshaanza ushoga? Na yule bint yako unaempenda sana na ulijinyima sana kula na kuvaa ukamsomesha pale st Marry kamaliza chuo mlimani ila anajiuza kwenye bar mbali mbali hapa mjini. Hivi utajisikiaje? Utafanya niniii?
Chukulia wewe ndo mwanaume /mwanamke kamili si shoga/malaya
HUmu ungeandika nini? ungeonaje huu uziii?
Ungewachukuliaje wanaharakati? Ungemchukuliaje mkuu wa wilaya?
Mama yako anajiuza pale Tandika,mama yako mdogo anajiuza pale mwananyamala
Dada yako anajiuza kimboka. Rafiki yako anajiuza pale river side
Baba yako anapakuliwa Zanzibar mdogo wako wa kiume ni shoga Sinza na classmate wako nae ni shoga yupo hapo kinondoni
Mtoto wako ulomzaa saiv ana niaka 14 tayari ameshaanza ushoga? Na yule bint yako unaempenda sana na ulijinyima sana kula na kuvaa ukamsomesha pale st Marry kamaliza chuo mlimani ila anajiuza kwenye bar mbali mbali hapa mjini. Hivi utajisikiaje? Utafanya niniii?
Chukulia wewe ndo mwanaume /mwanamke kamili si shoga/malaya
HUmu ungeandika nini? ungeonaje huu uziii?
Ungewachukuliaje wanaharakati? Ungemchukuliaje mkuu wa wilaya?