Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Cannabis

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2014
Posts
11,557
Reaction score
33,535
IMG_20220418_110440.jpg

Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
 
WaAfrika hatupendani Wanaija, Wasauzi na Wakenya walikua wanasubiria tu siku tujichanganye tu wapate pakuhemea. Yes Zainab kapatwa na yaliyomsibu ila walivyojump na kubadilisha story Tanzania sio safe kwa wageni kana kwamba hapo Nigeria, South Africa na Kenya ni salama zaidi kuliko Zanzibar. Tupo mara 300 salama zaidi kuliko huko kwao.

Nyani haoni kundule.
 
Kwani sisi tunafaifika kipi na Nigeria. Wakomae na Bokoharam huko. Ya kwao yamewashinda wanarukia ya watu.
Wanasema wao wanahela huwa wanakuja kusaidia sekta yetu ya utalii...kwa hiyo hatutapata tena hela yao
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Huyo alikuwa anajiuza tu na utapeli.
 
Hakuna cha kushughulikiwa hapo hata mamlaka zisijichoshe...demu malaya alikuwa kwenye udangaji.

She has questinable travelin record.
Mzee hawa jamaa wameamua kupambana na wabongo wote, huko clubhouse tunadhalilika...wamenichomoa kwenye room yao, wameniita nguruwe wenyewe wanasema "remove it"...nilikuwa najaribu kuwaambia kusema watanzania wote sio wajinga sio sawa
 
Hahahaha wao wauza unga, wezi, matapeli,makahaba, human traffickers, na kila tabia chafu duniani hatuwezi kupoteza muda nao...

Kifupi, dada yao ni kahaba alikuja kudanga bahati mbaya biashara haikwenda vizuri akaamua kutafuta namna nyingine ya kuishi kwa maana ya kazi yao ya asili aka utapeli..

anayejua kiingereza autafsiri huo ujumbe kienglish awatumie huko.....
 
Mzee hawa jamaa wameamua kupambana na wabongo wote, huko clubhouse tunadhalilika...wamenichomoa kwenye room yao, wameniita nguruwe wenyewe wanasema "remote it"...nilikuwa najaribu kuwaambia kusema watanzania wote sio wajinga sio sawa
Nipe link niende....

Nimeishi nao ni majitu ya hovyo...

Kuna Nigeria
Zimbabwe
Kenya

Watu wa hovyo Africa.
 
Mzee hawa jamaa wameamua kupambana na wabongo wote, huko clubhouse tunadhalilika...wamenichomoa kwenye room yao, wameniita nguruwe wenyewe wanasema "remote it"...nilikuwa najaribu kuwaambia kusema watanzania wote sio wajinga sio sawa

ulijaribu kuleta diplomasia aka democracy kwa wapumbavu..ungewaambia ukweli tu, DADA YAO NI KAHABA ALIKUJA KUDANGA BAHATI MBAYA BIASHARA HAIKWENDA VIZURI AKAAMUA KURUDI KWENYE KAZI YAO YA ASILI UTAPELI...
 
Na hili nalo litapita .

Nachoshukuru waTanzania hawawezi kudumu kwenye battle zaidi ya siku mbili au 3, kama mambo mazito yametokea ya ufisadi baada ya CAG kufanya yake, masai kuhamishwa NCAA, Sakata la Makonda, nk kupita as if akuna kilichotokea..hili nalo litapita japo litakuwa limeleta impact kiasi kwa Warere Hotel.

Hao matapeli wa kinigeria wanapoteza energy yao tu kuwasakama waTz..

Tusiwape tension kiasi kukwamisha shughuli nyingine za kusaka tonge.
 
Back
Top Bottom