Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Mimi naona bora Tanzania itangaze mgogoro wa kidiplomasia na Nigeria. Hii kitu ikiendelea hivi watatuchafua sana. Naona Kuna hidden agenda hapa.

Nawapenda sana waganda, wanawake wao ni wazuri sana, Hivi ni kweli wanakuepo pia?
Waganda watamu wewe na weusi wao ajabu hawana shombo!
 
Hatuwataki kabisa hao kenge...wanataka kutapeli kiboya namna hiyo
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
 
Tuwaombe vibali vya kazi kama hawana wawekwe mahabusu then wafukuzwe tu.
 
LOLA70.... Mbakaji anaombwa Condom na yeye anaenda kuchukua?? Halafu anarudi na Condom anamkosa mbakwaji anaamua kuiba pesa, hebu acha kutuchekesha sie,

Kwanza unazijua hotel za Zanzibar wewe, Milango yao unaijua vizuri na ukumbuke ile ni 4 star hotel, huyo Mbakaji aliingia vipi mbona hajasema aliingia vipi na alitoka vipi wakati mbakwaji anasema alifunga Mlango.
Kama walikuwa na appointment, basi lazima angekuja na condom. Receptionist always wana funguo wa kuingia chumba chochote.Hela alizosema kaibiwa ni ndogo sana( kama alitaka kulipwa back). Kama alikuwa na nia ya kuwa blackmail, basi angeweza mtambua aliyetaka kumbaka kwa sura( wangemwamini zaidi) bali alimtambua kwa harufu tuu. Hakuna mwanamke atataka kujitia kwenye fedhea kama hii.
 
Kama walikuwa na appointment, basi lazima angekuja na condom. Receptionist always wana funguo wa kuingia chumba chochote.Hela alizosema kaibiwa ni ndogo sana( kama alitaka kulipwa back). Kama alikuwa na nia ya kuwa blackmail, basi angeweza mtambua aliyetaka kumbaka kwa sura( wangemwamini zaidi) bali alimtambua kwa harufu tuu. Hakuna mwanamke atataka kujitia kwenye fedhea kama hii.

Kwa hiyo unataka kusema kua uongozi wa hotel ulipanga njama huyo mwanamke atake kubakwa?? Yaani 4 star hotel ipoteze hadhi yake kwa ajili ya mjinga mmoja wa Nigeria, be serious kidogo,

Suala la protection hua halina kipaumbele kwa wazinzi wengi mpaka baadae yakiwafika majambo kwa hiyo sababu yako sio nzito,

Huo mstari wa mwisho inaonesha bado dunia hujaijua ipasavyo.
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.

kwanza hatuna shida nao bora serikali ifunge viza za wanaigeria woote
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wapumbavu hao wao wana ustaarabu gani hapo kwao na huko duniani?
 
Am Nigerian living tanzania , as you know so many Nigerian don't have a job so we use our skills whatever possible to survive anywhere, you pls must forgive us for the way we treat cheat scam and con others African fellow,we are very sorry for that....!
#GREAT_POPOS
Omo[emoji848]...wonders shall never end
 
ingekuwaje wanaigeria wangekua wanaongea kiswahili...mbona wangeyaoga leo??? hahahhahaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Hao watu ukiishi nao ndio utawajua vizuri,wana fitina sana kujiona wao ndio bora kuliko waafrika wote
Am Nigerian so take care I don't have a joke with zaramo I warm you we are bright than you so take care!
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
nigeria ukiachana na muziki ni utapeli tu ndio umekithiri
 
wasipokuja itakuwa nafuu utapeli , uzinifu na uhalifu utapungua

Hatutaki watalii wa uzinifu kama Mombasa
 
hakuna wa kuwasikiliza,wanafahamika,na wala wao siyo wa kuitwa watalii,takwimu zao ni 0.00000001
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wasije kabisa tena. Ukitaka nchi yako iharibike waache Wanigeria waingie kwa wingi.
 
Back
Top Bottom