Wanaijeria wanachokitafuta tutawapatia, tutafukuza Wanaijeria wote nchini, shauri yaoWanasema wao wanahela huwa wanakuja kusaidia sekta yetu ya utalii...kwa hiyo hatutapata tena hela yao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaijeria wanachokitafuta tutawapatia, tutafukuza Wanaijeria wote nchini, shauri yaoWanasema wao wanahela huwa wanakuja kusaidia sekta yetu ya utalii...kwa hiyo hatutapata tena hela yao
Na hata hivyo, mamlaka za Hotel hiyo zimefafanua kwa kirefu namna suala hilo lilivyoshughulikiwa kiuhalisia!Hao watapeli wasichukulie tukio moja ku justify tabia za Watanzania wote, hilo tukio mamlaka husika wanalifanyia kazi waache mawenge
Kwanini jamuhuri isimshitaki kwa kuichafua?Na hata hivyo, mamlaka za Hotel hiyo zimefafanua kwa kirefu namna suala hilo lilivyo kiuhalisia!
Huyo binti anaonekana na dalili zote za utapeli wa jadi zao.
Maana kila akiambiwa suala lake hilo ni la kijianai, aende mahakamani kutafuta haki, anakataa akidai alipwe madai yake kwa mamilioni nje ya mahakama, vinginevyo ataichafua sifa ya Hotel na ndiyo imekuwa akitishia na kutekeleza hilo.
Huyo Mgambo mtuhumiwa kafunguka na kuweka wazi mazingira aliyoshawishiwa na baadaye kugeukwa na huyo mwanamke.
Ukisikiliza kwa makini pande zote, yaani uongozi wa Hoteli, Mtuhumiwa na huyo dada, kiukweli maelezo ya huyo dada yanaakisi tabia zao za utapeli.
Kile kitendo cha kukataa kata kata kwenda mahakamani kunakotafsiriwa sheria, kinatia shaka juu ya ukweli wa madai yake hayo.
Nadhani baadaye ndiyo kitakachotokea, maana wakimkalia kimya, atalichafua sana Taifa.Kwanini jamuhuri isimshitaki kwa kuichafua?
Katika orodha ya watalii wengi wanaongia Tanzania hawapo wasituchosheWanasema wao wanahela huwa wanakuja kusaidia sekta yetu ya utalii...kwa hiyo hatutapata tena hela yao
Mkuu wala usijali kama na sisi kwenye group letu la JF wapo waNigeria tuwatoe,Mzee hawa jamaa wameamua kupambana na wabongo wote, huko clubhouse tunadhalilika...wamenichomoa kwenye room yao, wameniita nguruwe wenyewe wanasema "remove it"...nilikuwa najaribu kuwaambia kusema watanzania wote sio wajinga sio sawa
Nimekoma kwa kweli, yani nimeitwa nguruwe halafu sijapata nafasi ya kujibu mapigoulijaribu kuleta diplomasia aka democracy kwa wapumbavu..ungewaambia ukweli tu, DADA YAO NI KAHABA ALIKUJA KUDANGA BAHATI MBAYA BIASHARA HAIKWENDA VIZURI AKAAMUA KURUDI KWENYE KAZI YAO YA ASILI UTAPELI...
Wanasema wao wanahela huwa wanakuja kusaidia sekta yetu ya utalii...kwa hiyo hatutapata tena hela yao
Kweli kabisa ni Wakati wa kuandamana serikali iwafukuze wote. Watupe kibali tupneshe uzalendoNa wanaijeria waliotapakaa hapa nchini wafurushwe warudi kwao.
Watuache na ujinga wetu.
Nakuja kukuunga mkonoNipe link niende....
Nimeishi nao ni majitu ya hovyo...
Kuna Nigeria
Zimbabwe
Kenya
Watu wa hovyo Africa.