Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Wanaijeria wa Clubhouse wakubaliana kwamba watanzania wanaunga mkono ubakaji

Wadada wa Kinigeria, Kenya, Uganda, South Africa, Zimbabwe huenda sana Znz kipindi cha High Season kujiuza, tunawajua vema na utapeli wao kwa Wazungu, soko likiwa gumu huamia mitaani,

Hebu wasitutibue sie, wapigwe blacklist hao Makahaba na Matapeli wamechafua sana sekta yetu ya Utalii sasa mwisho wao umefika,
Wamekoroga Sumu wakaionja.
 
Huu mjadala ningeomba ufungwe wabaki huko kwao na midevu yao washenzi kabIsa kwanza huyo Mbakaji angemwagia ndani kabisa
 
Wadada wa Kinigeria, Kenya, Uganda, South Africa, Zimbabwe huenda sana Znz kipindi cha High Season kujiuza, tunawajua vema na utapeli wao kwa Wazungu, soko likiwa gumu huamia mitaani,

Hebu wasitutibue sie, wapigwe blacklist hao Makahaba na Matapeli wamechafua sana sekta yetu ya Utalii sasa mwisho wao umefika,
Wamekoroga Sumu wakaionja.
Zamani wanaigeria walikuwa wanaupata visa on arrival baadae huo utararibu ukatolewa ambapo unatakiwa kuomba visa uchunguzwe record zako ndio upate visa. Naona baada ya kuingia madalali wa ku process visa Inaoneka watu wanapewa visa ovyo ovyo
 
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Mjifunze kuwa wazalendo na nchi yenu.uzalendo ni kutetea maslahi na ustawi Wa nchi yako dhidi ya mataifa mengine na si kuwa Chawa Wa Chama tawala na viongozi walio madarakani
 
Ubakaji wa mchongo
Kubaka ni kumlazimisha mwanamke kufanya ngono bila ridhaa yake au kufanya ngono na msichana wa chini ya umri wa miaka 18 kwa ridhaa yake au bila ridhaa yake au kufanya ngono na kichaa au mlevi.
 
Kubaka ni kumlazimisha mwanamke kufanya ngono bila ridhaa yake au kufanya ngono na msichana wa chini ya umri wa miaka 18 kwa ridhaa yake au bila ridhaa yake au kufanya ngono na kichaa au mlevi.
One side of the story, je umesoma upande mwingine wa hiyo hoteli
 
Wale ni matapeli. Wezi so hatuwezi waamin hata kama wangekuwa na nn.
Wapige kelele tu ila Tanzania ni sehemu salama sana kuishi na kuganya uwekezaji kuliko huko kwao
 
Hapo ndio namkumbuka JPM kichaa wetu..naamini angevunja diplomatic ties na hao mbwa na kupiga marufuku wanaijeria kuingia nchini. Sisi hatuna shida na hao mbwa waliokomaa sura za magimbi. Wao ndio wanajileta kwetu, mtanzania akatafute nini kwao hao mbwa.
 
Yaani uvuke mataifa yote hayo..uje! Kumtapeli Mtanzania.. khaaa
 
🇹🇿Ni muda muafaka wa wale wafuasi wa maria space wanaojidai ni wazakendo kukesha usiku kucha waungane wakawajibu huko kwa maslahi ya nchi

🇹🇿 Ni muda sahihi wa mange kimambi kupunguza muda wa udaku atumie ngeli anayoongea na wazungu huko kuwajibu

🇹🇿 Ni muda sahihi wa bwana kigogo anayejigamba kuwa anaweza kukuandika hadi ukazirai aanze kumwandika huyo kigagula ili dunia na yeye aone aibu

🇹🇿Ni muda sasa wa wale wanaodai uraia wa nchi mbili na tunawasikia kwenye clubhouse , Twitter nk wakiongea kimamtoni sasa nyookeni huko moja kwa moja ili jamii ijue umuhimu wenu kwenye nchi

🇹🇿Ni muda sahihi sasa kwa vijana wa vyama, Uvccm,bavicha, ngome za act, nk acheni propaganda sasa nendeni mkapindue meza huko kwa ajili ya nchi

🇹🇿 Muda sasa kwa wanavyuo, mliosoma medium, mnaletwa na magari ya njano nyumbani wale ambao mama mnamwita mom, na baba daddy , mliosoma chekechea kwa ada ya 10milioni na kuendelea haya nendeni mkakiongee chenyewe sisi st kayumba nia tunayi lakini maneno hayatoki ,umongo unawaza kusema hivi ila mdomo unachanganya na maviswahili


Kwa kweli wafanye huo uzalendo faster kila mtu kwa namna yake
 
Aaah pale wapopo wanapokutana na wabongo. Wote wajanja. Wakajaribu sehemu nyingine sio bongo hao tunawapa dr kumbuka, mwijaku, Juma lokole, wakisaidiana na Dida wanawatosha uzuri siku hizi google intranslate automatic
 
Back
Top Bottom