Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Mimi naona bora Tanzania itangaze mgogoro wa kidiplomasia na Nigeria. Hii kitu ikiendelea hivi watatuchafua sana. Naona Kuna hidden agenda hapa.
Waganda watamu wewe na weusi wao ajabu hawana shombo!Nawapenda sana waganda, wanawake wao ni wazuri sana, Hivi ni kweli wanakuepo pia?
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Kama walikuwa na appointment, basi lazima angekuja na condom. Receptionist always wana funguo wa kuingia chumba chochote.Hela alizosema kaibiwa ni ndogo sana( kama alitaka kulipwa back). Kama alikuwa na nia ya kuwa blackmail, basi angeweza mtambua aliyetaka kumbaka kwa sura( wangemwamini zaidi) bali alimtambua kwa harufu tuu. Hakuna mwanamke atataka kujitia kwenye fedhea kama hii.LOLA70.... Mbakaji anaombwa Condom na yeye anaenda kuchukua?? Halafu anarudi na Condom anamkosa mbakwaji anaamua kuiba pesa, hebu acha kutuchekesha sie,
Kwanza unazijua hotel za Zanzibar wewe, Milango yao unaijua vizuri na ukumbuke ile ni 4 star hotel, huyo Mbakaji aliingia vipi mbona hajasema aliingia vipi na alitoka vipi wakati mbakwaji anasema alifunga Mlango.
Kama walikuwa na appointment, basi lazima angekuja na condom. Receptionist always wana funguo wa kuingia chumba chochote.Hela alizosema kaibiwa ni ndogo sana( kama alitaka kulipwa back). Kama alikuwa na nia ya kuwa blackmail, basi angeweza mtambua aliyetaka kumbaka kwa sura( wangemwamini zaidi) bali alimtambua kwa harufu tuu. Hakuna mwanamke atataka kujitia kwenye fedhea kama hii.
View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wapumbavu hao wao wana ustaarabu gani hapo kwao na huko duniani?View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Omo[emoji848]...wonders shall never endAm Nigerian living tanzania , as you know so many Nigerian don't have a job so we use our skills whatever possible to survive anywhere, you pls must forgive us for the way we treat cheat scam and con others African fellow,we are very sorry for that....!
#GREAT_POPOS
Sasa wasipokuja wanafikiri kuna kitu kitakosekana?... Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Hao watu ukiishi nao ndio utawajua vizuri,wana fitina sana kujiona wao ndio bora kuliko waafrika woteWapumbavu hao wao wana ustaarabu gani hapo kwao na huko duniani?
Am Nigerian so take care I don't have a joke with zaramo I warm you we are bright than you so take care!Hao watu ukiishi nao ndio utawajua vizuri,wana fitina sana kujiona wao ndio bora kuliko waafrika wote
nigeria ukiachana na muziki ni utapeli tu ndio umekithiriView attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Wasije kabisa tena. Ukitaka nchi yako iharibike waache Wanigeria waingie kwa wingi.View attachment 2191594
Baada ya sakata la Zainab aliyedai kunusurika kubakwa akiwa Zanzibar, Wanaijeria mbali mbali wameonekana kukasirishwa na tukio hilo na kuanzisha mjadala unaosema kwamba Watanzania wote ni wajinga wanaounga mkono ubakaji. Wanaijeria hao wamekataa kufuta kauli hiyo na kuwaita watanzania ni takataka wasiyo natofauti na nguruwe. Mjadala huo unaendelea na kupamba moto na raia hao Wanaijeria wameapa kutokuja Tanzania kutokana na kukithiri kwa utetezi wa matukio ya ubakaji.
Go back in ur shit hole country,we dont want locust in our landAm Nigerian so take care I don't have a joke with zaramo I warm you we are bright than you so take care!