HahahahWee mwanamke uje PM
Huyu yupo sanah
naomba ruhusa nije pm tubadilishane mawasilianoUsijali mpendwa.
Tuko pamoja dear!!!
Mbona sikuoni?Hahahah
Haya nakuja kaka
Nimekuja mbona Kanungila Karim!Mbona sikuoni?
Karibu sana ChickMagnet... utanikuta room nakusubirinaomba ruhusa nije pm tubadilishane mawasiliano
@Humble African anagombea Ubunge Kinondoni kupitia CHAUMA Cha Mzee Hashim Rungwe spunda.Walikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Mbona sikuoni sasa?Nimekuja mbona Kanungila Karim!
JF ya siku hizi changamoto kidogo...
Hapana mrembo...
Wote wapo sanaa tena tele.