Wanajamiiforums mko wapi?

Wanajamiiforums mko wapi?

Zipi hizi?
Mkuu sasa si itakua hawajataka kujulikani ndo maana wamebadili id Sasa wewe unataka uwajue kwa Hizo id ambazo wao wameona wasijulikane wameamua wawe na id mpya Sasa wewe unataka kuzijua Hizo id [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Walikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Mbona hujanitaja nami kwa kupotea?
 
Back
Top Bottom