Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
Ukipata muda, uje PMNipo mkuu sema kuna mda nabanwa kidogo zi unajua tena kazi zetu hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukipata muda, uje PMNipo mkuu sema kuna mda nabanwa kidogo zi unajua tena kazi zetu hizi.
AhaaUkipata muda, uje PM
Aaah wapi, wewe wa muda sana humuTupo kwa majina mengine mkuu.
[emoji51][emoji51][emoji51]huenda corona iliwapitiaa....hivii ni Mimi nimeandika haya au mod mmeniandikia
Upo....................... Mimi sipo
Mkuu sasa si itakua hawajataka kujulikani ndo maana wamebadili id Sasa wewe unataka uwajue kwa Hizo id ambazo wao wameona wasijulikane wameamua wawe na id mpya Sasa wewe unataka kuzijua Hizo id [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Zipi hizi?
Mpauko alishafariki.Walikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Mbona hujanitaja nami kwa kupotea?Walikuwa washkaji sana humu JF
1. Humble African
2. Madame B
3. Alexender the Great
4. Chalii Francisco
5. Dragoon
6. Viatu vya samki
7. Miguu ya kuku
8. Mpauko
9. Wa Stendi
10. Baba Swalehe
Nani na nani?Wawili hapo ni marehemu.
Lini mkuu?MPauko si alishafariki.
ID yako ya zamani tafadhali.Mbona hujanitaja nami kwa kupotea?