Wanajeshi 60 wa Tanzania huko Afrika ya kati kurejeshwa nyumbani kwa tuhuma za unyanyasaji wa kingono

Soma taarifa hiyo iliyoandikwa kwa lugha ya kiingereza,kuna hadi watoto,mtoto huwezi kufanya makubaliano nae.Kuna mengi yanafanyika katika utendaji kazi wa watu wanaopewa dhamana flani kwenye jamii flani.Hukuwahi kumsikia MAMA akisisitiza kuwe na siri maofisini,we unafikiri mangapi yanafanyika maofisini,yanamalizwa kimyakimya?
Vipi mdada ambaye yupo JKT na ni mzuri,unadhani hawatakwi na baadhi ya askari na mwishowe wanaliwa,ulishasikia inaripotiwa?Tulia.
 
Naona umechanganya mambo mengi mara JKT, maofisini, watoto. Sasa sijui nikujibu vipi? Ngoja nianze na watoto uelewe kuwa mtoto kwa mujibu wa sheria za kimataifa ni yule ambaye hajatimiza miaka 18 kama sikosei. Sasa niambie kwa watoto wa kike wa Kiafrika kwa maumbo yao unaweza kugundua kuwa ana umri chini ya miaka 18? Ukitilia maanani kama yeye amekubali? Kwa hao wa JKT na Maofisini wengi wao wanapenda ili wapate unafuu kwenye shughuli zao.
 
JKT watu wanabakwa sana ila wengi huogopa sema wamebakwa wanaamua kukaa kimya na hiyo siri
2017 nikiwa mujibu wa sheria 821KJ bulombora CO kanole kuna mujibu alibakwa na service man sema ishu ikafichwa ikaonekana kama mwana alitaka kumbaka ndio watu wakatokea hahahaha hii story haikuongia akilini na hata demu aliyebakwa sikuwahi kumjuaa kama alifichwa hv ila kimazingira ni mzigo uliliwa

JkT mujibu ni kweli kuna manyanyaso ya kingono kwa watt wa kike
 
Umma ninini?Mi najua umma kwa tafasiri isiyo rasmi,ni sisi wananchi,ukijumuisha na majeshi yetu,inakuaje watu wa majeshi kua siyo watumishi wa umma?
 
Wamesema usimamiz wao ulikuwa wa kiwango kidogo,wacha warudi home wakaripot kambin kufyeka nyasi Sasa🤣si wamezikataa dollars za mmarekani🤔 ngoja waje waanze kunywa vya kupima🤣🤣

Mule mule yaani huku makambini bakabaka ndio shughuli zetu hizi makapera kufyeka nyasi tukisimamiwa na maafisa
 
Hivi wewe una akili timamu??
Wewe ndio una akili timamu!? Badala ya kushangaa waliobaka unanishangaa mimi!? Any way hata kuwa mwanajeshi huwezi kujitenga na matamanio ya mwili ila Cha Muhimu ni makubaliano ya wawili!!, Ila kufanya bila ridhaa ni big no!! Unakumbula enzi za Rahabu, kwenye Holy books
 
Nina wasiwasi Hawa UN wakiona kikosi frani kina fanya vizuri kudhibiti uharamia eneo husika basi huwa taftia sababu au case ili waondoke
Kwani ni mwiba kwao
 
Uelewa wenu mdogo,hao hawajafanya mapenzi bila ridhaa wala hawajaforce..ukiwa Mlinda amani wa UN hurusiwi kufanya mapenzi na raia wa nchi hyo mnaowalinda Kwa makubaliano yenu,ikijulikana au kuonekana wao wanahesabu umebaka..umetumia kipato chako au uwezo wako wa kijeshi kulazmisha
 
Wajeda wamezoea kutumia nguvu kubwaaa, akili kidogo wengi wao ni vilaza mnoo
 
Kitu pekee watanganyika wanakimudu ni zinaa, ushabiki wa mipira, uchawi na chuki.
 
Anaekurupuka ni wewe unaebaka haki za watu na hutaki ukweli ujulikane Tanzania ngono ndio kipaumbele na ukimwi umeshamiri ndio nchi ya wajinga mpaka leo bado wanaanbukizana ukimwi wakati duniani kote maambukizi yamepungua
😀😀😀😀aisee
 
Umma ninini?Mi najua umma kwa tafasiri isiyo rasmi,ni sisi wananchi,ukijumuisha na majeshi yetu,inakuaje watu wa majeshi kua siyo watumishi wa umma?
wale siyo watumishi wa umma, sema upumbavu wa wanasiasa kuwapa nyazifa za kisiasa, mpaka wakuu wa mashirika ya umma...
 
Siyo kwa jeshi tuu ni kwa Taifa kwa ujumla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…