Swala siyo hawafi, issue ni chanzo cha taarifaKuna watu watapinga sio kweli,yaani wao Waisrael hawafi
Si kweli, mimi nimeona siyo 30, waliofari hadi sasa ni 550Mpaka saa saba mchana walikua 30
Waisrael hawafi,sanasana hupata minor injuriesSwala siyo hawafi, issue ni chanzo cha taarifa
Israel hawajawahi kurudi nyuma tunasubiri mwisho wa Mtanange huu alaf magaidi wavaa pedo muanze kulilia ceasefireKuna watu watapinga sio kweli,yaani wao Waisrael hawafi
Weeeh, umeona wapi?Si kweli, mimi nimeona siyo 30, waliofari hadi sasa ni 550
Kwasababu tu yeyote anaweza kufa haimaanishi ndiyo kila mtu ajitengenezee taarifa zake kwa kadili ajisikiavyo.Waisrael hawafi,sanasana hupata minor injuries
Sasa hivi wamefika 920. Kuna mtu yeye ana connection so anaangalia halafu anatusimulia ndiyo na mimi nawaleteeni huku.Weeeh, umeona wapi?
Braza Israel anachapika na kukazika vizuri tu tena bila wasi,shida ni kwamba ukitaka kupigana naye unashikwa mikono.Sasa hapo utasemaje hachapiki?Israel hawajawahi kurudi nyuma tunasubiri mwisho wa Mtanange huu alaf magaidi wavaa pedo muanze kulilia ceasefire
Waulize ndugu zenu waarabu walichofanyiwa ndani ya siku 6!!! Ndio ujue kama Israel anachapika aliwahi chapwa na nani?!! Hisballah viongozi wao wameuliwa kama kuku ndani ya weeki1Braza Israel anachapika na kukazika vizuri tu tena bila wasi,shida ni kwamba ukitaka kupigana naye unashikwa mikono.Sasa hapo utasemaje hachapiki?
Wamekua Ambushed jana wale walio ingia Lebanon, waliingia mita 400 Lebanon wamepigiwa wame retreat. Kuna mpaka video maiti/Majeruhi wakisafirishwa.Israel hawajawahi kurudi nyuma tunasubiri mwisho wa Mtanange huu alaf magaidi wavaa pedo muanze kulilia ceasefire
Hahahaha Iran ๐ฎ๐ท ๐คฃ ๐ msianze kuomba poo moto mkianza pelekewaWao waseme hajafa hata mmoja habari ya kuwa wamekufa wangapi sisi haituhusu hiyo ni juu yao sisi Iran kazi yetu ni kupiga tu
Unajua maana ya kurudi nyuma!! Hatusemi wanajeshi wa Israel ๐ฎ๐ฑ hawafi hata gaza wamekufa zaidi ya 700 sasa Lebanon ๐ฑ๐ง wao wamekufa wangapi hadi leo??!Wamekua Ambushed jana wale walio ingia Lebanon, waliingia mita 400 Lebanon wamepigiwa wame retreat. Kuna mpaka video maiti/Majeruhi wakisafirishwa.
View attachment 3113206
Media Za Lebanon zinareport 14 wamefariki 35 majeruhi