Wanajeshi 8 wa Israel wauawa kwenye shambulizi la Hizbullah

Wanajeshi 8 wa Israel wauawa kwenye shambulizi la Hizbullah

Hongeren sana izibora kwa ushindi wa kishindo

Ila kuweni makini msije mkalipa roho 800
 
W

Waulize ndugu zenu waarabu walichofanyiwa ndani ya siku 6!!! Ndio ujue kama Israel anachapika aliwahi chapwa na nani?!! Hisballah viongozi wao wameuliwa kama kuku ndani ya weeki1
Unatuletea uongo wa 1967!?
Vipi 2006 hakuchapika huyo Israel!?
Je jana hakuchapika na Iran!?
 
Hawaja retreat na wanasonga mbele mkuu sema kwenye ambush mnatulia kidogo doesn't mean they are retreating
Acha kugeuza maneno wewe.
Hata Gaza Israel ilipotaka kuingia askari 5 waliua kwa mpigo waka retreat kwanza,after three to four days ndio wakafanya tena ground invasion na kufanikiwa kuingia Gaza.
Kiufupi hilo shambulio limewafanya IDF ku retreat.
Wacha kugeuza maneno.
 
Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.
Na Hezbollah wamekufa wangapi?
 
Acha kugeuza maneno wewe.
Hata Gaza Israel ilipotaka kuingia askari 5 waliua kwa mpigo waka retreat kwanza,after three to four days ndio wakafanya tena ground invasion na kufanikiwa kuingia Gaza.
Kiufupi hilo shambulio limewafanya IDF ku retreat.
Wacha kugeuza maneno.
Acheni kujifariji na askari 8 kufa IDF tayari iko ndani ya Lebanon na top brass ya Hisbollah karibia wote wameuliwa
 
Unatuletea uongo wa 1967!?
Vipi 2006 hakuchapika huyo Israel!?
Je jana hakuchapika na Iran!?
Hahahahaahah 😃 😃 😃 1967 uongo gani?! Embu tufafanulie kwa mtizamo wenu magaidi 2006 Israel ilichapikaje?!!
Iran imeichapa nini Israel unajua makamanda wangapi wa iran wameuliwa miezi24 iliyopita? Nani kachapika
 
Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.
I kiona mazayuni wamekiri 8, ujuwe ni zaidi ya 80 hao.

Majeruhi wangapi? Hao ndiyo muhimu.
 
Unatuletea uongo wa 1967!?
Vipi 2006 hakuchapika huyo Israel!?
Je jana hakuchapika na Iran!?
😄 🤣 😂 😆 😄 zile ilmu ya madrasa mnavyodanganywa na kudanganyana ndio wanayopewa hisbollah pia ndio maana wameuliwa kama utitiri
 
Hahahahaahah 😃 😃 😃 1967 uongo gani?! Embu tufafanulie kwa mtizamo wenu magaidi 2006 Israel ilichapikaje?!!
Iran imeichapa nini Israel unajua makamanda wangapi wa iran wameuliwa miezi24 iliyopita? Nani kachapika
Shida yako akili imejifunga ndani ya boksi.
Kwa akili yako kuua makamanda kwa assassination attempts na kushambulia kwa makombora kunafanana!?
Kwani juzi Israel imerushiwa makombora mangapi na Iran?
Je hicho sio kichapo!?
*Nenda kasome Operation Bint Jubeir utaona kwanini Israel aliikimbia Bint Jubeir.
 
😄 🤣 😂 😆 😄 zile ilmu ya madrasa mnavyodanganywa na kudanganyana ndio wanayopewa hisbollah pia ndio maana wameuliwa kama utitiri
Mbona unaweweseka kijana!?
Mbona unaongea hueleweki!?
 
Back
Top Bottom