Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamepata walichoenda kukitafuta. Wamerudishwa Tel Aviv wakiwa kwenye majenezakwani walienda kufanya nini huko Lebanon?
Usiku ndo huu vp mshaanza kurusha makombora au tusubilie usiku mwingine ewe msemaji wa idf tawi la kipunguni kwa mkwelembaLeo Iran majira ya usiku atapigwa kama ngoma!😀😀😀
GOD BLESS ISRAEL
Unatuletea uongo wa 1967!?W
Waulize ndugu zenu waarabu walichofanyiwa ndani ya siku 6!!! Ndio ujue kama Israel anachapika aliwahi chapwa na nani?!! Hisballah viongozi wao wameuliwa kama kuku ndani ya weeki1
Acha kugeuza maneno wewe.Hawaja retreat na wanasonga mbele mkuu sema kwenye ambush mnatulia kidogo doesn't mean they are retreating
Na Hezbollah wamekufa wangapi?Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.
Acheni kujifariji na askari 8 kufa IDF tayari iko ndani ya Lebanon na top brass ya Hisbollah karibia wote wameuliwaAcha kugeuza maneno wewe.
Hata Gaza Israel ilipotaka kuingia askari 5 waliua kwa mpigo waka retreat kwanza,after three to four days ndio wakafanya tena ground invasion na kufanikiwa kuingia Gaza.
Kiufupi hilo shambulio limewafanya IDF ku retreat.
Wacha kugeuza maneno.
Hahahahaahah 😃 😃 😃 1967 uongo gani?! Embu tufafanulie kwa mtizamo wenu magaidi 2006 Israel ilichapikaje?!!Unatuletea uongo wa 1967!?
Vipi 2006 hakuchapika huyo Israel!?
Je jana hakuchapika na Iran!?
I kiona mazayuni wamekiri 8, ujuwe ni zaidi ya 80 hao.Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.
😄 🤣 😂 😆 😄 zile ilmu ya madrasa mnavyodanganywa na kudanganyana ndio wanayopewa hisbollah pia ndio maana wameuliwa kama utitiriUnatuletea uongo wa 1967!?
Vipi 2006 hakuchapika huyo Israel!?
Je jana hakuchapika na Iran!?
Lete Ushahidi wa unachosema.Acheni kujifariji na askari 8 kufa IDF tayari iko ndani ya Lebanon na top brass ya Hisbollah karibia wote wameuliwa
Shida yako akili imejifunga ndani ya boksi.Hahahahaahah 😃 😃 😃 1967 uongo gani?! Embu tufafanulie kwa mtizamo wenu magaidi 2006 Israel ilichapikaje?!!
Iran imeichapa nini Israel unajua makamanda wangapi wa iran wameuliwa miezi24 iliyopita? Nani kachapika
Mbona unaweweseka kijana!?😄 🤣 😂 😆 😄 zile ilmu ya madrasa mnavyodanganywa na kudanganyana ndio wanayopewa hisbollah pia ndio maana wameuliwa kama utitiri
Ngoma ngumu msianze kulaumu Ayatollah akiuawaMbona unaweweseka kijana!?
Mbona unaongea hueleweki!?