Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kama wameingia Lebanon wamekuwa Ambushed na kurudi zao Israel huko kunaitwaje? Kurudi mbele?Unajua maana ya kurudi nyuma!! Hatusemi wanajeshi wa Israel 🇮🇱 hawafi hata gaza wamekufa zaidi ya 700 sasa Lebanon 🇱🇧 wao wamekufa wangapi hadi leo??!
Hivi Hizbullah hawana makombora ya kuangusha helcopter kweli?Wamekua Ambushed jana wale walio ingia Lebanon, waliingia mita 400 Lebanon wamepigiwa wame retreat. Kuna mpaka video maiti/Majeruhi wakisafirishwa.
View attachment 3113206
Media Za Lebanon zinareport 14 wamefariki 35 majeruhi
Yaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sanaSasa kama wameingia Lebanon wamekuwa Ambushed na kurudi zao Israel huko kunaitwaje? Kurudi mbele?
Hii clip inathibitisha nini?Wamekua Ambushed jana wale walio ingia Lebanon, waliingia mita 400 Lebanon wamepigiwa wame retreat. Kuna mpaka video maiti/Majeruhi wakisafirishwa.
View attachment 3113206
Media Za Lebanon zinareport 14 wamefariki 35 majeruhi
Muosha huoshwaWamekua Ambushed jana wale walio ingia Lebanon, waliingia mita 400 Lebanon wamepigiwa wame retreat. Kuna mpaka video maiti/Majeruhi wakisafirishwa.
View attachment 3113206
Media Za Lebanon zinareport 14 wamefariki 35 majeruhi
Kwasababu tu yeyote anaweza kufa haimaanishi ndiyo kila mtu ajitengenezee taarifa zake kwa kadili ajisikiavyo.
Tutakuwa fair sana kama tutajenga utamaduni wa ku cross check taarifa kutoka kwenye source yoyote ila kabla hatujai share kwenye circles zetu
Acha ujinga siku zote kurudi nyuma sio kushindwa bali huwa ni kujipanga upya na kuiepuka mitego mingine ambayo ingekupa hasara zaidi.Yaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sana
Either Maiti ama Majeruhi ambao wapo kwenye machela (asilimia kubwa ni maiti sababu wamefunikwa) wakiwa wanabebwa na kuwekwa kwenye Helicopter kurudishwa Israel.Hii clip inathibitisha nini?
Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.
Unajua maana ya Ambush? Unatembea barabara nyeupe let's say mpo 100 ama 500 ghafla watu wanatokea msipopajua wanaua 20 kati yenu, na wewe ni kamandaYaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sana
Ndio wamekaa kikao kujadili maziko ya marehemu huko Tel AvivEither Maiti ama Majeruhi ambao wapo kwenye machela (asilimia kubwa ni maiti sababu wamefunikwa) wakiwa wanabebwa na kuwekwa kwenye Helicopter kurudishwa Israel.
Wanayo ila hapo wanafaulisha toka kwenye Gari kwenda Helicopter ina maana ni eneo Nje ya uwanja wa mapambano, probably Ardhi ya Israel mpakani.Hivi Hizbullah hawana makombora ya kuangusha helcopter kweli?
Kwani hujui huyo huyo hezbollah alishamchapa israel 2006 na egypt pia alishamchapa, muwe mnasoma acheni kudanganywa na movieW
Waulize ndugu zenu waarabu walichofanyiwa ndani ya siku 6!!! Ndio ujue kama Israel anachapika aliwahi chapwa na nani?!! Hisballah viongozi wao wameuliwa kama kuku ndani ya weeki1
Kurudi nyuma vitani sio hii unalosema!!!Unajua maana ya Ambush? Unatembea barabara nyeupe let's say mpo 100 ama 500 ghafla watu wanatokea msipopajua wanaua 20 kati yenu, na wewe ni kamanda
1. Utarudi nyuma kupunguza vifo
2. Utasema argh ni watu 20 tu aluta continua tuendelee tu mbele?
Ama UNAFKIRI vita ni movie kwamba waendelee tu wakachakaze Lebanon yote?
Wamekalilishwa Taifa teule Taifa teule..upinde wakubwa..Kuna watu watapinga sio kweli,yaani wao Waisrael hawafi
Nimekuuliza kuretreat ni kurudi mbele?Kurudi nyuma vitani sio hii unalosema!!!
Hawaja retreat na wanasonga mbele mkuu sema kwenye ambush mnatulia kidogo doesn't mean they are retreatingNimekuuliza kuretreat ni kurudi mbele?