Wanajeshi 8 wa Israel wauawa kwenye shambulizi la Hizbullah

Wanajeshi 8 wa Israel wauawa kwenye shambulizi la Hizbullah

Sasa kama wameingia Lebanon wamekuwa Ambushed na kurudi zao Israel huko kunaitwaje? Kurudi mbele?
Yaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sana
 
Kwasababu tu yeyote anaweza kufa haimaanishi ndiyo kila mtu ajitengenezee taarifa zake kwa kadili ajisikiavyo.
Tutakuwa fair sana kama tutajenga utamaduni wa ku cross check taarifa kutoka kwenye source yoyote ila kabla hatujai share kwenye circles zetu
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-02-14-47-57-930.jpg
    Screenshot_2024-10-02-14-47-57-930.jpg
    418.5 KB · Views: 1
Yaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sana
Acha ujinga siku zote kurudi nyuma sio kushindwa bali huwa ni kujipanga upya na kuiepuka mitego mingine ambayo ingekupa hasara zaidi.
 
Wanajeshi zaidi ya 8 wa Israel wameuawa na wengine 20 kujeruhiwa baada ya ambush ya kushutukiza ya wapiganaji wa hizbullah wakati wa jaribio la wanajeshi hao kuingia kwenye kijiji cha mpakani cha Odaisseh nchini Lebanon ,wanajeshi wa Israel walirazimika kurudi nyuma baada ya shambulizi hilo.
Hapo awali wapiganaji walikuwa wametaarifu kuwarudisha nyuma wanajeshi wa Israel karibu na kijiji hicho ,serikali ya Israel haijatoa maoni yeyote mpaka sasa.

Safi sana sasa hivi ni zamu yao kuhesabu casualties na maiti.

Viva Iran Viva Hizbollah

Free Palestine
 
Yaani Israel irudi nyuma kisa wanajeshi 20 wamekufa?? Unadhani Gaza wanajeshi wa Israel hawakufa na bado wanapiga!! kuweni makini propaganda haitasaidia hya makundi ya kigaidi badala ya logic wanatanguliza faith wakiamini imani itawapa ushindi no wonder Nasrallah kauliwa kizembe sana
Unajua maana ya Ambush? Unatembea barabara nyeupe let's say mpo 100 ama 500 ghafla watu wanatokea msipopajua wanaua 20 kati yenu, na wewe ni kamanda

1. Utarudi nyuma kupunguza vifo
2. Utasema argh ni watu 20 tu aluta continua tuendelee tu mbele?

Ama UNAFKIRI vita ni movie kwamba waendelee tu wakachakaze Lebanon yote?
 
W

Waulize ndugu zenu waarabu walichofanyiwa ndani ya siku 6!!! Ndio ujue kama Israel anachapika aliwahi chapwa na nani?!! Hisballah viongozi wao wameuliwa kama kuku ndani ya weeki1
Kwani hujui huyo huyo hezbollah alishamchapa israel 2006 na egypt pia alishamchapa, muwe mnasoma acheni kudanganywa na movie
 
Unajua maana ya Ambush? Unatembea barabara nyeupe let's say mpo 100 ama 500 ghafla watu wanatokea msipopajua wanaua 20 kati yenu, na wewe ni kamanda

1. Utarudi nyuma kupunguza vifo
2. Utasema argh ni watu 20 tu aluta continua tuendelee tu mbele?

Ama UNAFKIRI vita ni movie kwamba waendelee tu wakachakaze Lebanon yote?
Kurudi nyuma vitani sio hii unalosema!!!
 
Yaani ndani ya siku moja tu wameliwa vichwa wanajeshi 8 wa Israel pale Lebanon.

Hii vita ikichukua hata miezi sita pekee Israel atamaliza wanajeshi wake maana Hezbollah kwa vita vya ardhini wapo njema.
 
Back
Top Bottom