mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
basi wewe endelea na mambo yako,Aaah!!! Sio kweLi mjeda anampa vtu demu lkn demu anavkataa sema haelewi kabsa huyu mjeshi
Nmetokanmda mrefu nko uku morogoro kwa sas nlkuja kuja kula maisha na my wangu ila dah roho inaniumaMkuu Ume toka lini Madagascar 🤔, tuanzie hapo😁😁.
👉Kabla ya kuku shauri mengine😂😁
KiukweLi hatuko kwenye mikakati yyte ya ndoa ila tuna mipango mkuu we nipe hata hyo mbinu kwani mm na huyu mschana tunapndana tuna muda mrefu saNa lkn kwa week hz 2 namuona kbsa mschana wangu anakosa raha kbsaKama una uhakika anamtishia maisha na ushahidi upo niambie nikupe njia sahihi ya kwenda kumuwajibisha huyo jamaa ila cha msingi awe mkeo au mchumba ambaye ni rasmi mpo kwenye mikakati ya ndoa , barua, au utambulisho unajulikana kanisani au kwa wazazi wenu wote.
KUkuachia siwezi tena siku ukinikuta niko nae kama kunipga utanipga uniuwe hata uwe na wajeda wenzio demu skuachii tena kesho jpili nakwenda mtaan kwao we njoo tu saa 1 usku ntakua kwao maan nataka sana nkujue uskute kuruti wwChagua moja niachie demu au nikuadabishe
Una ajira au biashara yeyote? Au upo upo home tu unasikilizia michongo?Daah
Daah hii situation nayopitia ni ngumu mkuu roho inaniuma sana huwez amini
Hapana mjeda anamtumia rafkiak na demu wangu ioa demu wang anavkataa vinarudshwa au bas kama havrdshw yule rafkake na demu abs anavtumia yyHuo muda wa kupeana vitu unatoka wapi ina maana manzi yako nae anampa nafasi mjeda
Mm nmejiajiri mkuu pesa za kubadilisha nguo na kumnunulia mamtu vtu vyake havnpg chengaUna ajira au biashara yeyote? Au upo upo home tu unasikilizia michongo?
Kama bado kula kula kulala huwezi kumiliki mwanamke mzuri iko liweke akili ni, wanawake wana mahitaji yao ambayo bill anacover mwanaume, kama huna michongo ya pesa achana na biashara ya mapenzi utapotea, huyo mjeda kila tarehe 25 anapata mshahara na posho huwezi kushindana naye kwa mademu hawa wa kisasa wenye DNA ya pesa unless uwe na kitu unique mwanamke anakifuata kwako basi hapo hata pesa ya Mjeshi mtakula wote na huyo demu.
DahZikunjeni mkiwa wawili
Ntajarbu kumuhoji vzr hili nalo lawezekana mkuubasi wewe endelea na mambo yako,
kwani umevunja sheria?
ila mi nakushauri ufuatilie kidogo labda hao wawili wana historia
😁😁bora umumueleweshaSasa kwani si kasema yupo morogoro maana ake alikua Madagascar au huoni zote ni M? sehemu jirani izo
Ushahidi wa meseji au sauti Aki mtishia mchumba wako maisha, unazo??Nmetokanmda mrefu nko uku morogoro kwa sas nlkuja kuja kula maisha na my wangu ila dah roho inaniuma
Meseji hana ila nmemuambia akitumiwa kuanzia sasa azihifadh asizfute kama ushahd kwa badaeUshahidi wa meseji au sauti Aki mtishia mchumba wako maisha, unazo??
Demu wako mwenyewe ana maoni gani mKuu?Kwema niko chaka mji kasoro bahari huku nimepata mwanamke mzuri sana ananipenda tena yuko vzr haswaa ila changamoto ni Hawa jamaa sijui wapoje ningekua na uwezo wa kumroga ningemroga uyu jamaa anamsumbua demu wangu.
Mda mrefu sasa anafkia hatua ya kumtishia maisha kisa yy mjeshi.
Wakuu, naumia roho sana namuona kioenzi changu anakosa furaha kisa mtu mmoja tu.
Kama upo humu ww mjeda acha kufosi tafuta wako pesa na soon naenda kukupga kimbola naenda Tanga kununua uchawi ww s unarngia madaraka afu mtu mwenyewe kuruti hana vyeo hauna.
mshamba_hachekwi nijibie hili swaLi...?😁Demu wako mwenyewe ana maoni gani mKuu?
Nambie ukweLi tu dadaangu ili nichambue pumba na mucheleeeYaani anamsumbuaje??
Sijui nikwambie ukweli?? Au acha nikuache tuu uendelee kufikiria mpenzi wako anasumbuliwa.
Wajeda wa morogoro huku naskia ni watata sana afu wana umoja mkuu naona nkiyavagaa ntakimbia mji mkuuDuh wewe mjeda anakushinda?