Harmonize wa Jf
Member
- Jan 6, 2022
- 56
- 336
Habari za hivi punde, kambi ya marekani imeshambuliwa nchini Iraq huku. Ikidaiwa kuwa wanajeshi wake kadhaa wamejeruhiwa.
Haijajulikana ni kundi Gani limehusika katika shambulizi ilo la bomu katika kambi ya marekani iliyopo Iraq lakini inadaiwa huenda makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na iran yaliyopo Iraq.
Marekani imetoa taarifa ya kuthibitisha kushambuliwa Kwa kambi yake ya kijeshi nchini iraq.
Kambi hiyo ya marekani inayoitwa Al-Asad airbase imeshambuliwa Kwa bomu na roketi
Source: ‘Several’ US personnel injured in rocket attack on Iraq base | CNN Politics
Haijajulikana ni kundi Gani limehusika katika shambulizi ilo la bomu katika kambi ya marekani iliyopo Iraq lakini inadaiwa huenda makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na iran yaliyopo Iraq.
Marekani imetoa taarifa ya kuthibitisha kushambuliwa Kwa kambi yake ya kijeshi nchini iraq.
Kambi hiyo ya marekani inayoitwa Al-Asad airbase imeshambuliwa Kwa bomu na roketi
Source: ‘Several’ US personnel injured in rocket attack on Iraq base | CNN Politics