Wanajeshi kadhaa wa Marekani wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na bomu nchini Iraq

Wanajeshi kadhaa wa Marekani wamejeruhiwa baada ya kushambuliwa na bomu nchini Iraq

Kimewaka tenaaa hizbollah wamelipua na inasemekana askari 17 wa IDF wamefariki kwa shambulizi la jana na la sasa hivi.
Kuna milipuko imetokea barabarani kwa shambulizi la drone na kuna milipuko katika kambi za jeshi za Israel.
Na Israel wanasema walifanikiwa kudungua drone moja tu.
 
Hizo nguruwe zimefyekwa ila zinaficha ficha
Hizo nguruwe zikifyekwa hua nasikia burdaaaan
Kuna video nime rekodi na kuileta ikionesha madhara ya shambulizi.
Drone zimepenya bana.😂😂😂😂
Askari 17 wamefariki upande wa Israel na raia watano wamefariki upande wa Hizbollah.
 
Kimewaka tenaaa hizbollah wamelipua na inasemekana askari 17 wa IDF wamefariki kwa shambulizi la jana na la sasa hivi.
Kuna milipuko imetokea barabarani kwa shambulizi la drone na kuna milipuko katika kambi za jeshi za Israel.
Na Israel wanasema walifanikiwa kudungua drone moja tu.
View attachment 3063134
Taifa teule zile ayan domo si wazitupe tu maana hazina msaada wowote ule kwakweli
Washawatangazia watu wa galileo sijui ndio gali kesho wahame ama wakae chini
Israhell bure kabisa six day kushinda war wanadhani game ile hehehe
Ngoja watetezi wawateule waje watie neno
 
Taifa teule zile ayan domo si wazitupe tu maana hazina msaada wowote ule kwakweli
Washawatangazia watu wa galileo sijui ndio gali kesho wahame ama wakae chini
Israhell bure kabisa six day kushinda war wanadhani game ile hehehe
Ngoja watetezi wawateule waje watie neno
Nimeshindwa ku Upload video nzima ila daah.
Kuna moja fly over mji wa Acre imetifuliwa katikati.
Na wenyewe wamekiri wameweza kuzuia drone moja tu.
 
Nimeshindwa ku Upload video nzima ila daah.
Kuna moja fly over mji wa Acre imetifuliwa katikati.
Na wenyewe wamekiri wameweza kuzuia drone moja tu.
Hii nimeiona
Israhell wanateseka sana mungunwao kawatelekeza kwani hawalindi tena?😀
 
Wanawatafutia sababu Ya Kuwanyuka,,,Kadhaa ndio ngapi sasa?
 
Kipindi hiki watakua bize sana kuzika bado iran anafanya warm-up
Leo yamefanyika mashambulizi matatu kwa mpigo.
Na inaonesha iron dome ilifeli ku detect drones ikafanikiwa dakika za mwisho kudungua drone moja.
Nime upload video hapo inasema atleast one drone was intercepted.
 
Usihangaike nae huyo The Mongolian Savage ninamjua fika ni Duplicate ya Maghayo The Mongo Barbarian, niliwahi weka Uzi wa kufichua ukweli huu kukiwa na ushahidi wa wazi mods wakaufyeka hao ni Nyani mmoja ila msitu tofauti.

Hilo jamaa sio Mshia ni muabudu Yesu sasa kaamua autumie tiketi ya kujifanya Mshia kushambulia uislamu, huyo ni mtu wa kupuuzwa anatumia vibaya bange zake.

Cc : Kinyungu Code 255 makaveli10
Dawa ya mtu kama huyu ni kum ignore
 
Sasa mimi ningejuaje kama ame edit mkuu?
Mie nimeingia nikakuta paap source imewekwa nakuta mwamba unalalamika huoni chanzo nikaona hee huyu mwamba vipi ama macho yake yanachagua kusoma!?
Haha bhasi kama ndio hivyo itabidi mods waanzishe utaratibu wa mtu akikosea na kurekebisha zile comments zote zinazomtaka arekebishe ziwe zinafutwa kitu ambacho ni sawa na kuwapa majukumu mapya sasa😀😀
 
Haha bhasi kama ndio hivyo itabidi mods waanzishe utaratibu wa mtu akikosea na kurekebisha zile comments zote zinazomtaka arekebishe ziwe zinafutwa kitu ambacho ni sawa na kuwapa majukumu mapya sasa😀😀
😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌
 
Kipindi hiki watakua bize sana kuzika bado Iran anafanya warm-up hajaanza kurusha vyuma
Unadhani hivyo vyuma ni vya Nani!? Huyo ni Irani anatumia hayo makundi... Hataki kwenda moja kwa moja kuhofia kuchangiwa maana anajua anatafutwa na magharibi. So ni hit and run
 
Ummah wa uislamu imefikia wakati wote kwa pamoja tuondoe tofauti, chuki na itikadi zetu na kuziweka pembeni tumkabidhi maisha yetu yote kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ili tushinde.

Yani ushindi hupo waziwazi kweuupe kwasababu ya Tawfiq mwamba aliyoipigania tumemiminiwa kila siku .

Mwamba alikan nafsi na maisha yake kuupigania, kuutetea na kuulinda uislamu. Leo tunajivunia kuwa na uhakika wa Janah na Firdaus.

Tukiungana na kumtegemea Imaam tutashinda.

Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.

View attachment 3062631

Tayana-wog Code 255 Malaria 2
Ichokozeni Marekani mkianza kupigwa msianze kutulilia lia waislamu wanauawa
 
Back
Top Bottom