Siri ya sifuri
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 2,335
- 1,967
Hizo kambi ndizo zinazoikinga esrael, wangeitia moto na ile kambi ya Jordan kwanza kabla ya kulianzisha rasmi.Wanaanzia mbali kwanza safi xnaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo kambi ndizo zinazoikinga esrael, wangeitia moto na ile kambi ya Jordan kwanza kabla ya kulianzisha rasmi.Wanaanzia mbali kwanza safi xnaaa
Si umewekewa pale chini CNN!?Unapoweka habari ni vyema kuweka na chanzo cha habari yako
Wanasafisha njia ili kuepuka vikwazo mbele ya safari.Hii plan nzuri sana nimeipenda.
Kwan hapo chini si umewekewa source ya CNN!?Hii habari umeitoa wapi ?
We usimchukulie serious huyo jamaa sio muislam anazingua tu.We shia nyie ndo munoharibu Uislamu kwanza mashia sio waislamu mna hamumkubali Muhammad kma mtume na quran pia hamuikubali ww ni kafiri tu kma wengine
Imaaam Hussein alikua na farasi mzuri sana wallah vile 🤣Ummah wa uislamu imefikia wakati wote kwa pamoja tuondoe tofauti, chuki na itikadi zetu na kuziweka pembeni tumkabidhi maisha yetu yote kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ili tushinde.
Yani ushindi hupo waziwazi kweuupe kwasababu ya Tawfiq mwamba aliyoipigania tumemiminiwa kila siku .
Mwamba alikan nafsi na maisha yake kuupigania, kuutetea na kuulinda uislamu. Leo tunajivunia kuwa na uhakika wa Janah na Firdaus.
Tukiungana na kumtegemea Imaam tutashinda.
Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.
View attachment 3062631
Tayana-wog Code 255 Malaria 2
Insha AllahUmmah wa uislamu imefikia wakati wote kwa pamoja tuondoe tofauti, chuki na itikadi zetu na kuziweka pembeni tumkabidhi maisha yetu yote kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ili tushinde.
Yani ushindi hupo waziwazi kweuupe kwasababu ya Tawfiq mwamba aliyoipigania tumemiminiwa kila siku .
Mwamba alikan nafsi na maisha yake kuupigania, kuutetea na kuulinda uislamu. Leo tunajivunia kuwa na uhakika wa Janah na Firdaus.
Tukiungana na kumtegemea Imaam tutashinda.
Allah aendelee kumfanyia wepes na kumpa qauli thabeet kipenzi chetu cha dhati Imaam Hussein ibn Ali A.S.
View attachment 3062631
Tayana-wog Code 255 Malaria 2
HongeraWewe ni kafiri sio muisilamu
Hujui ata unaongea nini pole sanaaa tena sanaaaaaHivi Israel au USA akituma bomu huwa linaulizwa wewe ni shia au suni? Acha upuuzi wewe hv muda wa kuulizana kuwa wewe ni shia au suni unatoa wapi ktk nyakati ngumu kama hizi? Au unadhani Israel akituma bomu huko palestina linatenga wakristo pembeni au linachafua wa kuchoma? Wewe madrasa yameharibu ubongo wako
Nilipoona kuna mkono wa urusi umeingia Iran bhc nkasema hawa watu wamekwishaHizo kambi ndizo zinazoikinga esrael, wangeitia moto na ile kambi ya Jordan kwanza kabla ya kulianzisha rasmi.
Usihangaike nae huyo The Mongolian Savage ninamjua fika ni Duplicate ya Maghayo The Mongo Barbarian, niliwahi weka Uzi wa kufichua ukweli huu kukiwa na ushahidi wa wazi mods wakaufyeka hao ni Nyani mmoja ila msitu tofauti.We shia nyie ndo munoharibu Uislamu kwanza mashia sio waislamu mna hamumkubali Muhammad kma mtume na quran pia hamuikubali ww ni kafiri tu kma wengine
Kiongozi kumbe muda wote tulikuwa tunapambana kisa demu siyo diniNoted mkuu. Kuna mzuka flani wa kishia umeniingia nimeopoa demu mkali wa kishia yani ananipelekesha balaa.
adriz
Wapi imesemwa wameuwawa au lugha ndio shida.Habari za hivi punde, kambi ya marekani imeshambuliwa nchini Iraq huku. Ikidaiwa kuwa wanajeshi wake kadhaa wamefariki Dunia.
Haijajulikana ni kundi Gani limehusika katika shambulizi ilo la bomu katika kambi ya marekani iliyopo Iraq lakini inadaiwa huenda makundi ya kigaidi yanayoungwa mkono na iran yaliyopo Iraq.
Marekani imetoa taarifa ya kuthibitisha kushambuliwa Kwa kambi yake ya kijeshi nchini iraq.
Kambi hiyo ya marekani inayoitwa Al-Asad airbase imeshambuliwa Kwa bomu na roketi
Source: ‘Several’ US personnel injured in rocket attack on Iraq base | CNN Politics
Ameedit baada ya mimi kumuuliza. Don't conclude kabla ya hata wewe kudadis kwanza na kujijibu kwamba huyu mtu mpaka ameomba source ya taarifa ilikuwaje? Meaning habari haikuwa imekamilika. Usirudie tena itajidhihirisha nawe ni wale wale tuSi umewekewa pale chini CNN!?
Au kusoma hujui?
Sasa mimi ningejuaje kama ame edit mkuu?Ameedit baada ya mimi kumuuliza. Don't conclude kabla ya hata wewe kudadis kwanza na kujijibu kwamba huyu mtu mpaka ameomba source ya taarifa ilikuwaje? Meaning habari haikuwa imekamilika. Usirudie tena itajidhihirisha nawe ni wale wale tu